Duh! Naona tumeanza kutambaa,
Wangeajiri wataalam wa electronics kutoka Japan au Israel japo wa nne tu!, kisha wachukue madactari bingwa 10 tu toka India ila wawe waaminifu wasije wakaiba mioyo ya watu.
Ingesaidia sana...sana.
Nakubalina na wewe kabisa , maana wangeenda Israel kuazima Walimu wa masuala ya ujasusi pia na kila kitu hata hiyo ni madini ya uralimu ambayo yapo Dodoma pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.