UDOM Kimejengeka kweli...Ni Kijiji cha elimu

UDOM Kimejengeka kweli...Ni Kijiji cha elimu

Kijiji cha elimu ni majengo?
Unamaana kutokana nilichokiandika, leo mwenye mada amejikota kwenye majengo, mwingine ataongelea nyanja nyingine. Alafu uniuliza kijiji cha elimu ni majengo? Nani kasema, nilikua najiona mjinga kumbe wapo zaidi yangu nilidhini nitaongoza kumbe wapi.
 
Acha kashfa zako. Unajua Kikwete ameachia nchi hii deni kiasi gani? Ameacha deni la taifa halielezeki na mifuko ya jamii taabani.


**Msifu bila kuponda wengine.
Na kanuni yake ilikuwa ni hii,BORA TUTUMIE MIAKA 50 YA KULIPA MADENI,WAKATI HUO INCHI IKIWA NA MIUNDOMBINU MIZURI,ELIMU NZURI NA VINGINE VIKO POA,KULIKO KUANGAIKA MIAKA 50 YA KUFANYA HAO MAMBO,HUKU TUKIZIDI KUDIDIMIA.
 
Kiukweli Udom imejengeka vizur sana na serikali ikiwezekeza vizuri kitakuwa moja ya vyuo bora kabisa Africa. Hata hivyo udom imejitahidi sana ukilinganisha na umri kilio nao. Wanaoponda ni wale wenye ufinyu wa kufikiri au wale wanaorukia mambo bila kufikiria. Udsm ina zaidi ya miaka 50 lakini ndo changamoto zinazidi kuongezeka na hilo ni tatizo kwa mfumo wa elimu Tanzania na afrika kwa ujumla.
 
Majengo ni moja ya KPI ndio
Hoja yako unasema watu walikuwa wanaita Chuo cha Kata walikuwa wana chukulia kigezo MAJENGO?? nazani huelewi vzur zana ya CHUO au SEKONDARI ya Kata!! fanya uchunguzi kidogo na UJe na uzi mpya
 
Udom hostel zao , kupita week moja bila maji kitoka kweny water system ni kawaida kabsa ,na pia miundombinu ya usafr kutoka town ni mibov kwan ikifka saaaa moja join Hanna usafr Wa hiace mpka upande punda au farasi au bajaji kwenda chuon sasa msisifie majengo hayo ni mapya tu yakichoka itakua kama hall 6 au mabibo tu ,mnakoelekea mtaanza nakusema kwamba kuna wanawake wazr kumbe IFM ndio kiboko
 
Back
Top Bottom