UDOM Kimejengeka kweli...Ni Kijiji cha elimu

UDOM Kimejengeka kweli...Ni Kijiji cha elimu

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,953
Reaction score
7,002
Kwa wanaopita Dodoma lakini hawajatembelea chuo kikuu cha UDOM ninawasihi sana wakatembelee maeneo yale ya UDOM.

Ukifika pale utasema kweli hiki ndo chuo kikuuu. Watanzania wenzangu kile ni kijiji, kuna namajengo nyuma ya ule mlima acha bwana.

Kuna daladala zinashusha ndani ya campus, kwa hili ninampongeza sana Kikwete.

Nilikuwa nasikia watu wanasema ni chuo kikuu cha kata kumbe ilikuwa ni dharau za kitanzania amabazo zimejaa kudharau kizuri chetu hutu tukisifia vibaya vya wengine.

Majengo yanayoonekana ukiwa unapita Dodoma ni 10% ya majengo yote.

Safi sana serikali ya Tanzania kwa kazi nzuri
 
...political commitment ilikuwa kwa kiwango cha juu sana...na ilianzia wakati wa awamu ya tatu. Tatizo ni namna ya usimamizi na umaliziaji wa mwisho wa mambo ambao kimsingi hauhusiani na political will. Ukiangalia haya mambo yote yako kwenye vision 2025...mwisho kabisa mtakuja kutambua chama chetu kimejitahidi na kukubali kimya kimya
 
Kwa wanaopita dodoma lakini hawajatembelea chuo kikuu cha UDOM ninawasihi sana wakatembelee maeneo yale ya UDOM. ukifika pale utasema kweli hiki ndo chuo kikuuu. Watanzania wenzangu kile nikijii..kuanamajengo nyuma ya ule mlima acha bwana..kunadaladal zinashut ndani ya compas..kwa hili ninampungeza san mh Kikwete. Nilikuwa nasikia watu wansema ni chuo kikuu cha kata kumbe ilikuwa ni dharau za kitanzania amabzo zimejaa kudharau kizuri chetu hutu tukisifia vibaya vya wengine..
Majengo yanayoonekana ukiwa unapita Dodoma ni 10% ya majengo yote.

Safi sana ..serikali ya Tanzania kwa kazi nzuri
ivi ww ndugu Chuo ubora wake unapimwa kwa MAJENGO TU jitathimini!! naishia hapo ctaki niwe MCHOCHEZI
 
Kwa wanaopita dodoma lakini hawajatembelea chuo kikuu cha UDOM ninawasihi sana wakatembelee maeneo yale ya UDOM. ukifika pale utasema kweli hiki ndo chuo kikuuu. Watanzania wenzangu kile nikijii..kuanamajengo nyuma ya ule mlima acha bwana..kunadaladal zinashut ndani ya compas..kwa hili ninampungeza san mh Kikwete. Nilikuwa nasikia watu wansema ni chuo kikuu cha kata kumbe ilikuwa ni dharau za kitanzania amabzo zimejaa kudharau kizuri chetu hutu tukisifia vibaya vya wengine..
Majengo yanayoonekana ukiwa unapita Dodoma ni 10% ya majengo yote.

Safi sana ..serikali ya Tanzania kwa kazi nzuri


Usibweteke na mwonekano wa majengo na daladala kuzunguka kwenye campus, tazama viwango na ubora wa taaluma na hayo majengo
 
Mada yake inahusu majengo sioni tatizo, la mleta mada yeye ameamua kuongelea majengo, mwingine ataongelea Elimu, kwa anae jua juu ya elimu inayotolewa hapo.
ni kweli kabisa mwingine aongelee huduma za jamii[emoji23]
Kwa wanaopita dodoma lakini hawajatembelea chuo kikuu cha UDOM ninawasihi sana wakatembelee maeneo yale ya UDOM. ukifika pale utasema kweli hiki ndo chuo kikuuu. Watanzania wenzangu kile nikijii..kuanamajengo nyuma ya ule mlima acha bwana..kunadaladal zinashut ndani ya compas..kwa hili ninampungeza san mh Kikwete. Nilikuwa nasikia watu wansema ni chuo kikuu cha kata kumbe ilikuwa ni dharau za kitanzania amabzo zimejaa kudharau kizuri chetu hutu tukisifia vibaya vya wengine..
Majengo yanayoonekana ukiwa unapita Dodoma ni 10% ya majengo yote.

Safi sana ..serikali ya Tanzania kwa kazi nzuri
 
Udom kwa majengo wamejitosheleza sana hilo halina ubishi, issue ya elimu itolewayo pale nahisi ni usimamizi mbovu tu wa watanzania wenzetu ambao wamekabidhiwa ile taasisi, ni ishaonekana ni kawaida kwa watanzania kuwa wabovu kwenye management za taasisi.

Ukiangalia hata chuo kikuu(udsm) imebabaki vile vile tangu enzi za nyerere hadi leo, haina chochote kikubwa ukilinganisha na umri wake, tena elimu sahivi imekuwa mbovu zaidi , full madesa. Tumebaki kuringia ukongwe.

Hakuna tofauti kubwa kati ya aliyesoma udsm na hivyo vyuo vingine, wote tunahangaika na bahasha zilizojaa vyeti ndani.

Serikali isipo kaa chini na wadau wa elimu wakaja na sulihisho sahihi katika elimu yetu, siku zote tutabaki wa hivi hivi tu. Kiukweli, we are nothing kwa hii system yetu ya elimu.
 
Kwa majengo kimesimama,nilishawahi sikia kwamba ndo Chuo kikubwa kwa Africa mashariki na kati kwa kiweza kubeba wanafunzi elfu 40 kwa wakati mmoja.Ila usimamizi wake kidogo hauko vzr siasa kibao.
 
1474697559092.jpg
 
Mada yake inahusu majengo sioni tatizo, la mleta mada yeye ameamua kuongelea majengo, mwingine ataongelea Elimu, kwa anae jua juu ya elimu inayotolewa hapo.
Mliozoea kusomea kwenye mabanda ya Sungura hampotei. Elimu ni ile ile inayotolewa kwingineko kote Tanzania, ndio maana madaktari wanaotoka pale wanatibu kama wa Muhimbili na hakuna malalamiko, lawyers hawakwami law school kama tu wa UDSM, na wengineo wapo kote nchini wakitumika maeneo mbalimbali. Kama kuna ubovu basi ndio huo huo unaokabili vyuo vyote Tz. Uchanga wa taasisi na hatua iliyopigwa in 9 years pia uzingatiwe.
 
Mliozoea kusomea kwenye mabanda ya Sungura hampotei. Elimu ni ile ile inayotolewa kwingineko kote Tanzania, ndio maana madaktari wanaotoka pale wanatibu kama wa Muhimbili na hakuna malalamiko, lawyers hawakwami law school kama tu wa UDSM, na wengineo wapo kote nchini wakitumika maeneo mbalimbali. Kama kuna ubovu basi ndio huo huo unaokabili vyuo vyote Tz. Uchanga wa taasisi na hatua iliyopigwa in 9 years pia uzingatiwe.
Hivi kweli umeanza kusoma posti ya kwanza, au umekosea ku quote, ama ndivyo ulivyo. Maana sioni hata hoja yako kwenye posti yangu, pamoja na kashfa naona bado uko upande wangu.
 
Udom ni chuo,sema tu watu wanapenda kukosoa kila jambo ambalo serikali inafanya.Udom ndio imepanua mji wa Dom.Ajira nyingi zimetengezwa.Unaweza sema uchumi wa Dodoma unabebwa na UDOM. Ukweli kwa wanaojitambua hawataacha kusema kuwa kwa UDOM,Kikwete alifanya kazi.Quality ya elimu ni changamoto kwa vyuo vyetu vyote.Leo hii hata chuo mama UDSM kinatoa watu ambao hawana ubora kabisa.Yaani degree feki ziko nyingi mno.Tukosoe yanayostahili kukosolewa.
 
Back
Top Bottom