UDOM Kimejengeka kweli...Ni Kijiji cha elimu

UDOM Kimejengeka kweli...Ni Kijiji cha elimu

UDOM ni Kielelezo cha Uchapakazi wa Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete.
Sio Udom tu mkuu, ukiiona mloganzila - muhimbili nacho kiko bomba, ukienda Nelson mandela, na Butiama univ-JK Ana legacy kubwa sana nchi hii kuliko Raisi yoyote yule Tanzania so far
 
Sio Udom tu mkuu, ukiiona mloganzila - muhimbili nacho kiko bomba, ukienda Nelson mandela, na Butiama univ-JK Ana legacy kubwa sana nchi hii kuliko Raisi yoyote yule Tanzania so far

Kweli kabisa! Nimefika Mloganzila kule Kibamba kufuatilia frame ya kuweka Pharmacy nikiishia kulengwa na Machozi ya furaha kuona tena Legacy ya Mtoto huyu wa Chief wa Wakwere!
 
Naomba weka picha tuone
1474701982506.jpg
 
uchumi wa dodoma unabebwa na uwepo wa vyuo vingi mkoani humo pamoja na bunge la jmt!!! kuna takribani vyuo sita dodoma! ambavyo ni udom,chuo cha mipango(irdp),cbe,st.john,chuo cha madini na chuo cha uongozi wa serikali za mitaa hombolo!
 
Wasiojijua wakakiita chuo cha kata wako wanahainga na second round,na nnawahakikishia hamtapata hata archbishop mihayo tabora,mtaambulia labda ktk 5th round!!!
 
Elimu ni bora mno pale acheni wivu na husuda wakuu!..na billgate anawekeza hapo kwa IT afrika nzima!...jk anajua baaaaana
 
Mada yake inahusu majengo sioni tatizo, la mleta mada yeye ameamua kuongelea majengo, mwingine ataongelea Elimu, kwa anae jua juu ya elimu inayotolewa hapo.
Kijiji cha elimu ni majengo?
 
ivi ww ndugu Chuo ubora wake unapimwa kwa MAJENGO TU jitathimini!! naishia hapo ctaki niwe MCHOCHEZI
Ni kweli mkuu, ubora wa chuo sio majengo Tu, aliyeandika huu uzi nafikiri haelewi, aangalie makerere university, majengo Ni kawaida Sana lakini Ni moja ya Chou kizuri Africa.
 
Wanafunzi waliosoma pale walio wengi wanakataliwa Sana kwenye Kazi za tempo huku mtaani cjui Kwa nini jamani
 
Wanafunzi waliosoma pale walio wengi wanakataliwa Sana kwenye Kazi za tempo huku mtaani cjui Kwa nini jamani
Sasa mkuu wewe kama umesoma sua ama DUCE does it make u different ?
Mimi nimebahatika kufanya kazi na multinational companies na NGO's nimebahatika pia kufanyia interview graduates Mara tatu, toka vyuo tofauti nchini, binafsi huwa sioni tofauti katika uwezo wao in relation to specific institutions,
Ingawa to be honest, elimu yetu ni changamoto, from whatever university, graduates wetu wa hii miaka mitatu ni seriously incompetent. Na hii ni inahusu Vyuo vyote vya Tz, ingawa hii ni mada nyingine anyway.
 
...political commitment ilikuwa kwa kiwango cha juu sana...na ilianzia wakati wa awamu ya tatu. Tatizo ni namna ya usimamizi na umaliziaji wa mwisho wa mambo ambao kimsingi hauhusiani na political will. Ukiangalia haya mambo yote yako kwenye vision 2025...mwisho kabisa mtakuja kutambua chama chetu kimejitahidi na kukubali kimya kimya
Acha kuhamisha sifa za mtu mkuu. Hatujawahi kusikia Mkapa akizungumzia.Daraja la Kigamboni kuna mwengine alisema eti ilikuwa idea ya mzungu mkoloni.
 
Ni kweli mkuu, ubora wa chuo sio majengo Tu, aliyeandika huu uzi nafikiri haelewi, aangalie makerere university, majengo Ni kawaida Sana lakini Ni moja ya Chou kizuri Africa.

Wewe unaelewa unaweza kweli kufananisha Chuo chenye Miaka zaidi ya sabini (Makerere University) na UDOM ambacho hakina hata 10 years? Kwa Taarifa hata UDSM unauoina Leo ilipitia vipindi vigumu kuliko inavyopitia UDOM!! Mpaka earl 1980s baadhi ya Course za undergraduate walikuwa wanafundishwa na Walimu Wenye Shahada ya Kwanza.
Hakuna Chuo hata Kimoja Duniani ( Sio Africa) kilichoanza moja kwa moja kikiwa na mahitaji yote, rejeeni Msome Changomoto walizopitia Al Azhar ya Eqypt, Oxford, Havard na vinginevyo. UDOM imeanza vizuri sana ukilinganisha na vilivyoanza UDSM , Makerere, Kenyata etc
 
Sio Udom tu mkuu, ukiiona mloganzila - muhimbili nacho kiko bomba, ukienda Nelson mandela, na Butiama univ-JK Ana legacy kubwa sana nchi hii kuliko Raisi yoyote yule Tanzania so far
Acha kashfa zako. Unajua Kikwete ameachia nchi hii deni kiasi gani? Ameacha deni la taifa halielezeki na mifuko ya jamii taabani.


**Msifu bila kuponda wengine.
 
Back
Top Bottom