Mpaka ninavyoandika huu uzi, hapa UDOM education hakuna aliyeoga wala kujisaidia, kama kuna mtu basi hajaflashi, na hii ni kawaida sana hapa UDOM mtu kutoflash, si wanawake si wanaume wote tushazoea mambo haya maana hata ukimuuliza akikwambia umpe maji utamjibuje? UDOM maji hakuna halafu hakuna vyoo vya nje, ni shida.
Baadhi ya wanafunzi wamekuwa wabunifu kwa kuandaa utaratibu wa Kujisaidia kwa pamoja (yaani COLLECTIVE PEEING), yaani mnajiorganize chumba kizima mnaenda kujisaidia asubuhi, wa mwisho ndiye atakayeflash, hivyo kujikuta mmetumia ndoo moja ya maji watu wanne.
Hakuna anayeona kama hili ni tatizo linalotakiwa kutatuliwa kuanzia utawala hadi uongozi wa wanafunzi hakuna anayejali
NB: Kama kuna mtu anabisha aje sasa hivi hapa
UPDATE:
Kuna msela kakata gogo bafuni nusu saa iliyopita. Wakuu hali tete!!
Baadhi ya wanafunzi wamekuwa wabunifu kwa kuandaa utaratibu wa Kujisaidia kwa pamoja (yaani COLLECTIVE PEEING), yaani mnajiorganize chumba kizima mnaenda kujisaidia asubuhi, wa mwisho ndiye atakayeflash, hivyo kujikuta mmetumia ndoo moja ya maji watu wanne.
Hakuna anayeona kama hili ni tatizo linalotakiwa kutatuliwa kuanzia utawala hadi uongozi wa wanafunzi hakuna anayejali
NB: Kama kuna mtu anabisha aje sasa hivi hapa
UPDATE:
Kuna msela kakata gogo bafuni nusu saa iliyopita. Wakuu hali tete!!