Wewe acha ujinga. Nawewe unasema ni msomi? Nyie ndo mnaaibisha nchi...watu wanajua wasomi wa Tanzania ni mapunga kisa mijitu kama wewe. Msomi anakuwa na mawazo ya kipumbavu hivyo? Labda nisiseme sana...inawezekana wewe ni msomi ila ngazi gani sasa ndo issue... uneza ukawa msomi ngazi ya chekechea