UDOM chuo kinachozoa zoa

Miongoni mwa vyuo vya zoa zoa ni Dodoma hiki chuo kinamambo ya ajabu sana
Yaani kweli divisheni four mtu anasoma university
Au ndo maana wanakiita cha kata
Tupe ushahidi, wapi wamezoa? Mifano zaidi ya mmoja itakuwa poa
 
Mpiga hera na post zake za kukurupuka yaani umbea umbea tu.. Afu ushahidi hana ana bwabwaja tu .. Wewe unasoma wapi ?? Na unasoma nn ?
.. UDOM wanachukua waliofanya vizuri tu .. Nenda college ya health ukajionee pale ni 1 & 2 only .. Tena 2 ni kwa wadada sana sana.
 
Miongoni mwa vyuo vya zoa zoa ni Dodoma hiki chuo kinamambo ya ajabu sana
Yaani kweli divisheni four mtu anasoma university
Au ndo maana wanakiita cha kata
Bora usome hizo RUCO, SAUT au Theofilo kisanji n.k kuliko UDOM ya Kata.
 
Ngoja wakujibu kwanza ndo uridhike make ulihitaji hilo kuleta mada hiyo ya kibaguzi na kidharau humu
 
Sijaboreka ila kama msomi Nina haki ya kulijadili
Kwani vyuo vingine mbona vinachukua cream

Why udom??
Ww msomi umefanya nn cha kisomi ili hata wanaojifunza wajifunze kwako? Kama sio usomi Wa kimajungu
 
Anayesoma health udom
Naye eti anajiita daktari
 
Ngazi ya degree lakini si ya udom
 
Tatizo ni pale wanaporuhusu hongo
 
Huna hoja kaa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…