UDINI ni kitu kibaya sana

UISLAM NI KAMFUMO FULANI KALITENGENEZWA KUICHAFUA DUNIA,
Uislam haujawahi kuichafua duania tangu kuumbwa kwa Dunia, lini Uislam ushawahi kuanzisha vita na kundi lolote lile?
Mnawajaribu Waislamu wenyewe mkibutuliwa mnaanza kuulalamikia Uislam.
Ukiuchokoza Uislam jiandae na hasara ya kudumu, chezea vingine sio Imani yao na hawajawahi kushindwa tangu Dunia inaumbwa na mpaka inaisha hakuna mtu atakuja kuanzisha vita na Uislam atashinda, utatumia kila aina ya vifaa ila utakimbia wewe kwani ishaandikwa Adui wa Uislam hatashinda hiyo vita kwakuwa kwenye Imani ya kiislam hakuna kurudi nyuma linapokuja swala la uchokozi wa Imani.
 

Kama vipi mtafute dunia yenu mkaishi,mana hii dunia hamuiwezi,mtabaki kujenga chuki na hasira dhidi ya wengine,dini ikizidi inakua ni upuuzi b
 

Sio mbaya kujipa moyo,mpaka kufikia hapa uislamu umeshindwa vibaya sana,kilichobaki ni kujiripua tu.
 
Kila nikikumbuka niliwahi kukosa mke Kwa ajili ya utofauti wa dini za wazungu na waarabu naishiwa nguvu.Muogope sana mtu anaeendekeza dini regardless anaamini dini za waarabu au wazungu Bora awe anaamini dini zetu za kiafrika
 
Kwani wewe demu alie fungasha umtaki anata mwenye mbao?au unataka kwenda kanya ukaungane na makenzi kufunga na kuomba siku 40 bila kula wala kunywa?

Tuwapende wote tusiwabague
 
Magaidi ndio yanauishi uislamu,mana kurwani imesema muislam ndugu yake muislamu,makristo na mayahudi na maadui namba moja,dini ya mudi ina shida mahali
Kwani wewe hauna ndugu?
Lakini vipi mazingira ya wengineo waliyokuzunguka katika jamii mfano jirani, rafiki n.k unawatendea vipi? Bila shaka unawatendea vizuri.

Na hii ndiyo maana ya kauli Muislamu ndugu yake ni Muislamu. Kwa maana ni udugu wa kiimani kama kulivyo na udugu wa kuchangia wazazi na mpaka ukoo.

Lakini udugu huu haumnyimi Muislamu mipaka ya kuwa jirani na watu wengineo wasitendewe vyema!
 
Magaidi ndio yanauishi uislamu,mana kurwani imesema muislam ndugu yake muislamu,makristo na mayahudi na maadui namba moja,dini ya mudi ina shida mahali
sasa kwani biblia haifundishi upendo wa Mkristo kwa Mkristo mwenzake? inakuaje Ukraine na Russia wanamalizana na NATO inapeleka Silaha kumaliza Wakristo wenzao badala ya kupeleka suluhu na maridhiano …yaani Wakristo wa NATO wanazidiwa uchamungu na Mapagani ya kichina yanayohimiza suluhu ?


Mchungaji Mackenzie, Baba Askofu Kibwetere na wengine kwanini wanaacha kutapeli wapagani wanaenda kutapeli Wakristo wenzao wanyonge ?
 
Tatizo lako mtoa mada ni uongo na uzandiki
Unasema waislam Wana chuki na dini nyingine bila kusema pia dini hizo nyingine pia zina chuki na uislam.
Wewe unaona chuki ya kidini ndio mbaya je chuki ya kijamii au kiuchumi?

Vipi Chuki baina ya Wananchi na wezi,majambazi au vibaka?

Chuki baina ya Wananchi na mashoga na wasagaji?
 
Cha kushangaza kwenye huu Uzi mtu wa kwanza mpaka wa kumi kukomenti ni wavaa rozari waliojificha kwenye mgongo wa kukataa dini huku wakitumia nguvu nyingi kuushambulia uislamu.

HUO NDIO UNAFIKQUUNA ULIOWAZI KABISA ....Yale wanayoficha kwenye nyoyo zao ni makubwa zaidi(kuliko Yale mnayodhihirisha)..Basi kufeni na chuki zenu.
 
Magaidi ndio yanauishi uislamu,mana kurwani imesema muislam ndugu yake muislamu,makristo na mayahudi na maadui namba moja,dini ya mudi ina shida mahali
ni miaka takriban 365 kama sikosei ukristo ulishakula age, ndo unakuja uislam maana yake ni kwamba yalishakuwepo mengi sana kabla. leo wew unakuja unajifanya wew ndo wew aisee.
 
Wakristo na waislam
wote hamjielewi
wafia dini wote ni wa hovyo.
mmeua uafrika kisa mambo yenu ya ajabu
mnakera
braza mpagani kinachotakiwa ni amani na usalama maana hiyo ndo haki ya kila binadamu
 
mkuu kusimamia imani yako ni kuendelea kuabudu unachoamini siyo kugombana na wenzako na kuwatenga.
 
Waislam wangekuwa wanatenga watu, hii nchi isingekuwa na dini zingine za kiajabu ajabu.

Kumbuka kuwa dini zingine zote ziliukuta Uislam tayari upo ardhi i hii inayoitwa Tanzania leo.
we bibi acha mambo zako wew[emoji3]. we mwenyew mbaguzi tu, na nafikir ulielewa nilimaanisha nini!
 
mkuu fafanua kuhusu haki, haki ni nin? na waislam hawapendi dhulma kvp na wanasimamia haki ipi?
 
[emoji23][emoji23] we jamaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…