saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 5,677
- 7,808
we huna tofauti na wehu walioko barabarani.Waislam wangekuwa wanatenga watu, hii nchi isingekuwa na dini zingine za kiajabu ajabu.
Kumbuka kuwa dini zingine zote ziliukuta Uislam tayari upo ardhi i hii inayoitwa Tanzania leo.
Wewe bora ya udini kuliko ushamba na ulimbukeni wa lugha ya kingerezaMimi nashangaa sana, eti mtu anamchukia mwenzake kwasababu ya imani, na niwe mkweli wala siyo kwasababu ya udini, nyie wenzetu waislam mna chuki sana.
Yaani unakuta eti mtu anamtenga kabisa mwanajamii mwenzake eti kisa dini[emoji15] hii dunia hii ngumu sana. Yaani wewe hata humjui mtume, yaan ni imani tu ambayo umeirithi kutoka kwa ancestor wako, tena pengine hata hao hawakumuona
Halafu eti dah unachachamaa kabisa....... lets take things easy guys destiny itasema kila kitu wakati sahihi utasema, believe what you believe let others do so. kwasababu wote ndo wale wale.
Udini unasababisha kupotea kwa maisha ya watu, unafarakanisha ndugu na kupelekea uadui baina ya watu, sasa kwann tufike huko? let's go easy.
Leo unakana ukirito kisa makezi kawaamlisha mfunge bila kula siku 40?Wakristo na waislam
wote hamjielewi
wafia dini wote ni wa hovyo.
mmeua uafrika kisa mambo yenu ya ajabu
mnakera
Wewe kichwani kumejaa matopeMmechokozana huko kwenye mambo yenu ya kipuuzi halafu unawaita Waislamu wadini? Kwanza udini ni nini? Isije ikawa mtu anasimamia Imani yake wewe unamuita mdini kisa tu kakataa kufanya unavyotaka wewe.
Kuna muda mwingine baadhi ya wajinga wanahisi Uislam ni swala la kujiamulia tu. Mfano mtu mnaweza mkawa mmekaa mnafanya jambo, ukienda kuswali mjinga anakuona mdini kwasababu anahisi swala ni kujiamulia muda kumbe swala ina nyakati zake.
Ukiona mtu analalamikia udini uje huyo ni fuska fulani anayetaka watu waishi vile anataka yeye. Muislam amekatazwa kufanya ubaguzi, ila amekatazwa pia kujadiliana linapokuja swala la Imani, yaani hakuna kujificha kwenye kutekeleza Imani yake. Nyinyi udini mnaoita ni pale Muislam anapokuwa committed na Imani yake.
Kuna baadhi yenu hata mkikaribishwa majumbani kwa Waislamu ukifika muda wa swala wakatoka kwenda kuswali au wakijitenga sehemu waswali mnawaita wabaguzi. Mtaendelea kuwaona Waislamu ni wadini kwakuwa mnaamini dini ni mjadala wa kirafiki ufanye au usifanye.
Imeandikwa; hawatakuwa radhi na nyinyi mpaka mtakapofata mila zao.
Kwani wewe demu alie fungasha umtaki anata mwenye mbao?au unataka kwenda kanya ukaungane na makenzi kufunga na kuomba siku 40 bila kula wala kunywa?-Udini
-Ukabila
-Ubaguzi wa rangi
-Ubaguzi wa maimbo demu mwembamba unamnyanyapaa unataka wanene wenye mizigo
-Wanaume wafupi hamuwataki mnawataka warefu wembamba weusi
Hivyo vyote vitu vibaya mkuu sio udini peke yake
Wewe ni miongoni mwa waliotoroka kenya kwenye vifo via haraiki vilivyo sababishwa na ibiri wa kanisani?Ushawishi wao ili ujiunge unadanganywa mbinguni Kuna pisi 72....mambo ya ajabu sana
Watu wapuuzi kama wewe kukujibu inatia kinyaa kabisa, kajinga kama wewe hujui hata kusoma ukaelewa unakimbilia kujibu ujinga tu, Wapi Uislam umeelekeza hayo unayosema wewe na huyo majnun mwenzako? Wapi na lini Uislam umekataza kushiriki shughuli za kijamii? Ndio maana nimesema kabisa wajinga wawili wamechokozana huko wanakuja kuhukum Uislam ikiwa na wewe mpuuzi usiyejua maana ya katazo.Wewe kichwani kumejaa matope
Kila kukicha utaskia mawaidha ya watu wa dini flan kukashifu dini nyingine kuwaita makafir, kukataza kushiriki nao shughuli za kijamii hadi misiba , huoni ni ubagzi mkubwa
Soma vizuri mtoa mada alichoandika na uache kukurupuka kujibu
Magaidi ndio yanauishi uislamu,mana kurwani imesema muislam ndugu yake muislamu,makristo na mayahudi na maadui namba moja,dini ya mudi ina shida mahali
Udini ni Mbaya sana, ona sasa kuna baadhi ya mambo unashindwa kuyatafakari kikawaida na kuyachukulia kidini.Chukulia mfano hapa kwetu palikuwa na brother alikuwa na wanae wawili wadogo ,jirani yake ni mkristo wale madogo wa bro wanaenda kucheza na wa kule wanakuja hata kula ila mbaya watoto wa bro walilisha nguruwe kule wakaanza kubabuka midomo ya kuharisha mpaka ikaja kugundulika.
Kuishi na wakristo ni tafarani kabisa assume harufu ya mtu anayekula nguruwe na pombe wana harufu fulani ya kinyaaa sana bado hawajisafishi wakienda haja yaani matatizo tunaishi na nyie maisha hatuna tabu.
Wakristo wanakaririshwa chuki na roho mbaya na hawa wanaishi kwa kufanya dhuluma ,utapelu uwizi, ujambazi kawaida sana ili mradi wapate kitu maana dini yao haijui mambo haramu katika kutafure riziki.
Wakristo ndo wanaongoza kwa chuki dhidi ya waislamu,Rejea habari ya uchomaji wa Qur an mara ichomwe mara wakojolee ili mradi tu kuleta chokochoko ,Mda mwingine unasikia mtu kamtukana Mtume sasa yote ya nn ?..."Nyie mna dini yenu sisi tuna dini yetu"
Hata uzi uliopita juzi uliandikwa kingereza ila content nzima ilikuwa kwa nn viongozi wa kikristo haswa marais kipind cha utawala wao paligubikwa na matukio ya kikatili haswa yakiwa ya kimlaka.Asili ya ukristo na wakristo ni roho mbaya hawana utu kabisa.
Mmechokozana huko kwenye mambo yenu ya kipuuzi halafu unawaita Waislamu wadini? Kwanza udini ni nini? Isije ikawa mtu anasimamia Imani yake wewe unamuita mdini kisa tu kakataa kufanya unavyotaka wewe.
Kuna muda mwingine baadhi ya wajinga wanahisi Uislam ni swala la kujiamulia tu. Mfano mtu mnaweza mkawa mmekaa mnafanya jambo, ukienda kuswali mjinga anakuona mdini kwasababu anahisi swala ni kujiamulia muda kumbe swala ina nyakati zake.
Ukiona mtu analalamikia udini uje huyo ni fuska fulani anayetaka watu waishi vile anataka yeye. Muislam amekatazwa kufanya ubaguzi, ila amekatazwa pia kujadiliana linapokuja swala la Imani, yaani hakuna kujificha kwenye kutekeleza Imani yake. Nyinyi udini mnaoita ni pale Muislam anapokuwa committed na Imani yake.
Kuna baadhi yenu hata mkikaribishwa majumbani kwa Waislamu ukifika muda wa swala wakatoka kwenda kuswali au wakijitenga sehemu waswali mnawaita wabaguzi. Mtaendelea kuwaona Waislamu ni wadini kwakuwa mnaamini dini ni mjadala wa kirafiki ufanye au usifanye.
Imeandikwa; hawatakuwa radhi na nyinyi mpaka mtakapofata mila zao.
Ndivyo kitabu kinavyosema ? soma vizuri.hizo nitafsiri za baadhi ya waislamu ambao hawana elimu ya kutosha ya dini. tusitoe majibu ya vitu tusivyovijua
UISLAM NI KAMFUMO FULANI KALITENGENEZWA KUICHAFUA DUNIA,
Imenigusa Sana ndiomana nahisi tuliohumu ktk hii forum tunajifunza mengi Sana kila siku MIMI naishi mahala na mwiislamu fulani anaswali sawala tano mimi ni mkristo yeye Ana watoto 3 mimi 2 ila jamaa hapendi na hataki hata kidogo watoto wake wacheze na watoto wangu hata kidogo wakicheza usiku huwa anawachapa Tena wakati Nina mtoto mmoja mwanangu alikuwa anapata shida namana anakosa wa kucheza naye ikanilazimu kutafuta mtoto wa jamaa yangu aje pale nyumbani LAKINI MUNGU ALIJIDHIHILISHA WALIPOANZA KUSOMA WA KWAKE DARASANI HAKUNA KITU KAKWANGU KAKAWA FASTA KUELEWA MTIHANI MWAKA JANA KAKAWA KAKWANZA CHEKECHEA MWAKA HUU DARASA LA LA KWANZA YE WAKWAKE MPAKA LEO BADO HAKUNA KITU NIKASEMA KUMBE YESU ANAJUA KUMUINUA MTU.....
Says Mgalatia wa GalilayaSays mmatumbi wa oman
Baadhi ya vitu lazima tuvichukulie kawaida na sio inferiority complex mtu akufanyie hivi basi uchukulie udini.Udini ni Mbaya sana, ona sasa kuna baadhi ya mambo unashindwa kuyatafakari kikawaida na kuyachukulia kidini.
Habari za viongozi mara kula nguruwe kutapika.. Huoni kama ni chuki tu.
Hey come on guys, Tuish Maisha bhna kwa kupendana.
Ni kawaida kwa mhalifu kutamani kila mtu angekuwa mhalifu kama yeye pale akitiwa hatiani. Hata failures wengi wanahisi waliofaulu ni wabaguzi.Swala tano wengi hata akili hawana,moyoni mwao wamejenga chuki dhidi ya wasio waislamu,