Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Status
Not open for further replies.
ndiyo maana serikali ya jamaa haijawa stable, hii ni kutokana kuwa na wana madrasa wengi mno kuliko wana sande skuu, maana uwezo wa mwana madrasa huwa ni kukariri zaidi kuliko
kusoma alama za nyakati na kitoa ufumbuzi wa tatizo,
Wewe mshabiki sio mjadili mada nenda kacheze bao,tuache humu.
 
Mwambie huyo ana fikra potofu sana atoke humu,hao anawasema vipanga wengine tuliwagalagaza kinoma uliza
 
Siko zote sikijua kama mbinafisi,unamatatizo makubwa sana,na ni selfish,funga domo lako unapumba nyingi
 
Gamba la Nyoka! Mi'nadhani hukumuelewa Rev. Alichoandika sio ulichajibu, naamini umeghafilika. Plz sooma btn line utaona alichokuwa akimaanisha. Alichomaanisha ni kuwa haijalishi kama wote ni waenda Masjid bali wanafanyanini kwa faida ya ya WADANGANYIKA wote. Rev yupo sahihi. Plz usisome kwa jazba unapoteza points muhimu
 
Chama kinaongozwa kwa katiba hivyo kitu muhimu ni kuhakikisha wanaoongoza wanaongoza kwa mujibu wa katiba wawe wakristu wote au waislamu wote. Kwani mbona unapopanda bus huulizi kama linaendeshwa na muislamu au mkristu? Si unaangalia umakini wa dereva kama anaendesha hovyo unamkemea? Hivyo hivyo kwa CCM tuangalia wanaongoza chama kama wanaongoza hovyo tuwakemee au kuwaondoa bila kujali ni dini gani. Hata wapagani wanaweza kuongoza ili mradi wawe wanachama.
 
Siko zote sikijua kama mbinafisi,unamatatizo makubwa sana,na ni selfish,funga domo lako unapumba nyingi


Umeshaanza lugha chafu kama kawaida yenu,

Uislam bana, akh, ni kaazi kwer kwer

Ukisha maliza kutokwa povu, kasafishe mdomo wako na sabuni.
 
Lini raisi wa Zanzibar atakuwa Mkristo?, CCM ina watu kama, John Chiligati, John malecela, Williams, Antony Dialo, John Shibuda, na wengine wengine ,mbona hakuna hata mmoja aliyewahi kugombea kiti cha uraisi Zanzibar?... Sielewi mambo mengi naomba msaada... Dini na Chama au familia au ukoo na Chama, kama wanavyosema CUF na Chadema imetokana na nini? je kuna chuki za Ukabila Tanzania zilizojificha kwenye mioyo ya watanzania? au kuna Chuki za Koo au familia zinazofukuta kwenye mioyo ya Watanzania? kwa upande wangu, Kiongozi awe Mwislaam, Mkristo au mpagan sawa tu ili mradi wawe na uchungu wa maendeleo ya nchi yetu. Tanzania tuiombee ipate viongozi wasio na tamaa ya kujilimbikizia mali au kulinda maslahi yao tu. Ningependa tupata viongozi wabunifu watakaoleta mabadiliko kidogo ili hata wao wenyewe waweze hata kutibiwa Tanzania wakiugua. Hii itakuwa faraja kwa kizazi changu kijacho.
 
Maxshimba tumechoka na propaganda zako za kidini, hii siyo forum ya kueneza ulokole, ni vizuri ukaungana na wenzako Kenya kufanya kazi ya kufufua maiti. siku ukifanikiwa bila shaka utapata wafuasi wengi. Lakini kwa mtaji wako wa sasa sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anataka kuendeleza malumbano ya kidini.PLEASE STOP IT
 

Mmemchoka wewe na nani?

Kwani umelazimishwa kusoma anachoandika Maxshimba?
 
usibishane naye huyo huyo ni mtu mmoja.mtumie PM Mtanzania akueleze kuwa Mwafrika,Maxsimba ni nani? kuna thread ilikuwepo hapa ilibidi Mwafrika akimbie na kuifuta.

ha ha ha ... na hii umeitoa madrassa ipi ... mogadishu au kismayu?
 

bravo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…