‘Udikteta’ wa Magufuli na uhuru wa kujieleza

Unasema hakuna rais aliyewahi kupiga marufuku vyama vya upinzani kufanya mikutano wakati tayari kuna rais alivipiga marufuku kabisa vyama vya upinzani kwa miaka mingi tu!

Come on man!
Nyerere aliongoza maazimio ya kuifanya Tanzania iwe nchi ya chama kimoja, hakuamka tu kwenye podium na kupiga marufuku vyama vingi. alibadilisha katiba. sasa ndio maana tunamwambia Magufuli kama hataki vyama vingi basi abadilishe katiba kama Nyerere hapo tutamwelewa. Kwa hiyo huwezi kulinganisha hiyo ya Magufuli na hiyo ya Nyerere.

Halafu, hivi kwa nini hivyo vyama vya upinzani na vyenyewe havijafungua kesi ya kikatiba kupinga huo ujinga?

Yaani na vyenyewe vimekubali tu kuburuzwa utadhani havijui katiba inasemaje! SMH.
Hoja hapa siyo REACTION ya Vyama vya siasa, bali ACTION ya Rais aliyeko madarakani ambapo sisi tunasema ni DIKTETA kwa sababu YA MAMBO MBALIMBALI ALIYOFANYA KATIKA MUDA WA MIAKA MMITATU, na wewe unasema SIYO DIKTETA kwa sababu HAJAFUNGIA INTANETI.
Lakini basi, suala la kwenda mahakamani tunaweza kuona kinachoendelea. Hujiulizi kwa nini serikali hii inasisitiza sana kwamba KAMA HUKUBALIANI NENDA MAHAKAMANI?? Ipo sababu nzuri sana. Mahakama ni mhimili UNAOTARAJIWA kujitegemea. Hali inaanza kubadilika Tanzania. siku hizi unaona Rais hata akitaka kumuapisha mtu utaona JAJI MKUU, SPIKA, CAG, na viongozi wengine ambao hawatarajiwi kujichanganya na Executive, unawaona hapo. Umeona juzi kesi iliyotarajiwa kusajiliwa ya Zitto Kabwe jinsi alivyozungushwa. na pia ukishapeleka mahakamani wanaweza kuzungusha kupanga jaji wa kusikiliza kesi mpaka magufuli amalize kipindi chake. Rejea kesi ya Sugu kukata rufaa alipofungwa. na wakati huo hutakuwa na ruhusa ya kuongea jambo hilo POPOTE watakukumbusha kwamba hiyo ni CONTEMPT OF COURT. Vyama vimeamua kutumia MAHAKAMA YA WANANCHI. unaweza kuidharau, lakini Watanzania wanaona na ndio moja ya sababu Magufuli anaogopa sana a free and fair election. angalia chaguzi za marudio.

Kuhusu bunge live....mara hii tushasahau kuwa kwa miaka mingi tu hata TV tulikuwa hatuna?
Twende kwa logic. hatuwezi ku-argue kuhusu Bunge Live wakati hapakuwa na TV. Huwezi kumuuliza mtu wa STONE AGE Habari ya INTANETI. pia hata wakati wa Mwinyi na Mkapa hapakuwa na huo utaratibu wa BUNGE LIVE. Hiyo ililetwa wakati wa JK, na ameiondoa Magufuli. that is the argument. huko unakokwenda siko.

Ni nani aliyetawala kwa muda mrefu na TV hatukuwa nazo lakini sasa watu wanataka awe mtakatifu?????
Wakati huo hapakuwa na hiyo requirement ya kikatiba ya vipindi vya urais. hatuwezi kulazimisha kuichomeka hapo. Hapa tunaongelea provisions za kikatiba ambazo Magufuli anazivunja. Pia hatuwezi kumhukumu Magufuli kwa vitu ambavyo havipo sasa hivi. tuko realistic. Mfano hebu nikumbushe huko nyuma pale Mahakama iliamua kitu halafu serikali ikakataa kutekeleza, tena ishu ya Public Interest kama uvunjaji wa nyumba za watu wengi. Massive destruction of houses. hiyo imetokea kwa watu wa kimara. hatujawahi shuhudia bomoa bomoa ya kiwango hicho.

Kuhusu "watu wanataka awe mtakatifu" Hiyo ni privilege ya Kanisa Katoliki. Wana uhuru wa kufanya watakavyo mradi hawavunji sheria. Siyo "Watanzania" wanaotaka Nyerere atangazwe Mtakatifu, ni Kanisa Katoliki. Hiyo ingehusika hapa kama Magufuli ANGEMTANGAZA NYERERE MTAKATIFU. OTHERWISE usichanganye mambo.
 
Nyerere aliongoza maazimio ya kuifanya Tanzania iwe nchi ya chama kimoja, hakuamka tu kwenye podium na kupiga marufuku vyama vingi. alibadilisha katiba. sasa ndio maana tunamwambia Magufuli kama hataki vyama vingi basi abadilishe katiba kama Nyerere hapo tutamwelewa. Kwa hiyo huwezi kulinganisha hiyo ya Magufuli na hiyo ya Nyerere.


Hoja hapa siyo REACTION ya Vyama vya siasa, bali ACTION ya Rais aliyeko madarakani ambapo sisi tunasema ni DIKTETA kwa sababu YA MAMBO MBALIMBALI ALIYOFANYA KATIKA MUDA WA MIAKA MMITATU, na wewe unasema SIYO DIKTETA kwa sababu HAJAFUNGIA INTANETI.
Lakini basi, suala la kwenda mahakamani tunaweza kuona kinachoendelea. Hujiulizi kwa nini serikali hii inasisitiza sana kwamba KAMA HUKUBALIANI NENDA MAHAKAMANI?? Ipo sababu nzuri sana. Mahakama ni mhimili UNAOTARAJIWA kujitegemea. Hali inaanza kubadilika Tanzania. siku hizi unaona Rais hata akitaka kumuapisha mtu utaona JAJI MKUU, SPIKA, CAG, na viongozi wengine ambao hawatarajiwi kujichanganya na Executive, unawaona hapo. Umeona juzi kesi iliyotarajiwa kusajiliwa ya Zitto Kabwe jinsi alivyozungushwa. na pia ukishapeleka mahakamani wanaweza kuzungusha kupanga jaji wa kusikiliza kesi mpaka magufuli amalize kipindi chake. Rejea kesi ya Sugu kukata rufaa alipofungwa. na wakati huo hutakuwa na ruhusa ya kuongea jambo hilo POPOTE watakukumbusha kwamba hiyo ni CONTEMPT OF COURT. Vyama vimeamua kutumia MAHAKAMA YA WANANCHI. unaweza kuidharau, lakini Watanzania wanaona na ndio moja ya sababu Magufuli anaogopa sana a free and fair election. angalia chaguzi za marudio.


Twende kwa logic. hatuwezi ku-argue kuhusu Bunge Live wakati hapakuwa na TV. pia hata wakati wa Mkapa hapakuwa na utaratibu. Ililetwa wakati wa JK, na ameiondoa Magufuli. that is the argument. huko unakokwenda siko.


Wakati huo hapakuwa na hiyo requirement ya kikatiba ya vipindi vya urais. hatuwezi kulazimisha kuichomeka hapo. Hapa tunaongelea provisions za kikatiba ambazo Magufuli anazivunja. Pia hatuwezi kumhukumu Magufuli kwa vitu ambavyo havipo sasa hivi. tuko realistic. Mfano hebu nikumbushe huko nyuma pale Mahakama iliamua kitu halafu serikali ikakataa kutekeleza, tena ishu ya Public Interest kama uvunjaji wa nyumba za watu wengi. Massive destruction of houses. hiyo imetokea kwa watu wa kimara. hatujawahi shuhudia bomoa bomoa ya kiwango hicho.

Kuhusu "watu wanataka awe mtakatifu" Hiyo ni privilege ya Kanisa Katoliki. Wana uhuru wa kufanya watakavyo mradi hawavunji sheria. Siyo "Watanzania" wanaotaka Nyerere atangazwe Mtakatifu, ni Kanisa Katoliki. Hiyo ingehusika hapa kama Magufuli ANGEMTANGAZA NYERERE MTAKATIFU. OTHERWISE usichanganye mambo.

Kwa sasa hoja ya kwamba Rais Magufuli ni dikteta haina mashiko huku uraiani.

Madikteta huwa hawajadiliwi hivi tunavyomjadili Magufuli na kumwita kila aina ya majina na kumtania tutakavyo.

Ina mashiko kwenu wachache huku mtandaoni.

Ningekujibu mstari kwa mstari sema sina tu muda na ninatumia simu. Nitarudi baadaye.
 
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.

Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.

Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.

Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .

Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.

Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.

Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.

Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.

Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?

Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.

Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?

Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
Muda mwingine huwa nasoma huko nakuona Tutavuka mipaka
 
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.

Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.

Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.

Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .

Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.

Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.

Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.

Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.

Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?

Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.

Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?

Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.

Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.

Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.

Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .

Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.

Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.

Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.

Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.

Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?

Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.

Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?

Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao![/QUOTE
Leo nmeproove kujua kingereza sio kuelimika. Umechapisha ujinga wa kiwango cha lami,Leo umenionyesha kiasi gani akili yako inashuka...sijui uzeee ndio unaingia kwa kasi...Umesoma vizur sheria ya cyber crime, Kama unajihisi uko huru tengeneza group la whxup kuwa free kuchangia kama unavyochangia humu Jf, kama kesho hatutokuokota ufukweni kwenye mfuko wa sandarusi.
 
Hakuna hoja hapo ni ujinga, wewe kufanananisha matumizi ya mitandao na Uhuru wa kutoa maoni. Hivi unajua kuna uhuru wa kukutana? Sasa kwenye mitandao wanakutana? Wanafanya mikutano au? Acha kujipumbuza na ujinga wako. Huna hoja, hata kwenye orodha wa great thinker wewe hautakuja kuwamo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu
 
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.

Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.

Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.

Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .

Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.

Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.

Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.

Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.

Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?

Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.

Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?

Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
So wataka mpaka internet ifungwe ndo uamini ni dikteta? Uhuru wa kutoa maoni upo? Waweza elezea why maandamano kibao ya kupongeza serikali yanapewa baraka lakin Yale ya kuipinga hata kwa Aman yanakataliwa? Waweza elezea kwanini yule mkurugenzi wa twaweza kanyanganywa hati ya kusafiria ? Me naona sometimes acha kuwaza kua it could be worse kwanini usiwaze it should be better?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?

Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao
Huwa anatamani malaika ashuke aifunge!!!


Sema tu, inakuja!! Time will tell brother
 
Naomba nikuulize;
1.Ni lini maandamano yalifanyika Tanzania kufananisha na ya Zimbabwe?

2.Je nani asiye na uoga wa kukosoa waziwazi kama ilivyokuwa awamu iliyopita?

3.Je udikteta unapimwa kwa kufunga intaneti tu? Vipi kama unaachiwa hyo intaneti lakini ole wako useme yasiyowapendeza wateule?

4.Kwa maoni yako! Unaamini Tanzania ya sasa ni sawa na ile ya miaka mitano iliyopita katika nyanja zote za.kimaisha?
 
Kwa sasa hoja ya kwamba Rais Magufuli ni dikteta haina mashiko huku uraiani....Ina mashiko kwenu wachache huku mtandaoni.
. .
Mimi nadhani hatuwezi kumtarajia mama ntilie azungumzie UDIKTETA WA MAGUFULI. Mkwezi wa Nazi, na hata kwenye vigenge vya kahawa. wanachoweza kuongelea ni "ugumu wa maisha", na pia kuonesha huruma kwa wapinzani. Sympathy.
kwa elites, Watu wanaogopa kuongea mambo haya ati. na ukiwa na uthubutu wa kuyaongea wanakutahadharisha. mara nyingi nimetahadharishwa ninapokuwa maeneo kama Hospitali tunasubiri kuingia kwa daktari, au benki kwenye foleni, unaanza mjadala. Mara nyingi atatokea mtu aliyeguswa na juhudi. ukianza kumdadisi na kumtolea mifano hai mbalimbali, watu wanakutonya. wanakuambia chunga sana kuna jamaa wa "system" hapa. lakini nakuambia Nyani, Magufuli ana mengi ya kuwajibu watanzania. kama JK tu alipewa wakati mgumu sana hivyo, sembuse Magu? watu wanaangalia mfukoni bana. mambo ya stigla na standadi geji hawana stori nayo.

Madikteta huwa hawajadiliwi hivi tunavyomjadili Magufuli na kumwita kila aina ya majina na kumtania tutakavyo. .
Magufuli means business na ni dikteta kweli. fedha inapangwa na kugawiwa ikulu, na sasa hivi hakutakuwa na kura za maoni kwa chaguzi za CCM - Magu mwenyewe ata-retain powers za kumrejesha mgombea ubunge. anaamrisha Spika, Jaji Mkuu, CAG, nk. ni DIKTETA indeed. halingani na akina hitler kwa sababu huyu ni PETTY DICTATOR. Vile vile kuwa Full Dikteta ina gharama zake katika ulimwengu wa leo, hivyo anajizuia katika baadhi ya mambo. Lakini angalia ile body language pale anapokosolewa na Zitto Kabwe au Tundu Lissu. yaani yuko tayari kumeza mtu!

Ina mashiko kwenu wachache huku mtandaoni.
Ni wewe umeileta, maana yake bado ina mashiko. mtandao unawakilisha sample ya watanzania, na ukitaka kujua impact, hebu angalia wanaosoma kila thread, hata kama hawachangii, idadi ni kubwa sana. Ila kunachobamba mtaani ni MAISHA MAGUMU. huo ni wimbo kila mahali unapokwenda siyo vijijini na siyo mijini, na THEY HOLD MAGUFULI RESPONSIBLE.

Ningekujibu mstari kwa mstari sema sina tu muda na ninatumia simu. Nitarudi baadaye.
Pole sana!!
 
Kwa hiyo kaishu kamoja ka kuachia internet kamefuta mengine yoooooote mabaya? you must be out of your mind!!!
 
Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?

Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
Nafikiri kipimo cha mtu kuitwa dikteta si tu lazima afungie Internet. Ni bora kwanza kuangalia wale wanaomwita dikteta wanamwita kwa sababu gani na kama sababu hizo zinakidhi mtu kuitwa dikteta.
 
Nyani, unajuaje huko tunakoelekea hatakuja kutufungia kama Zimbabwe ...........!!?

Kama kuna huo uhuru kama tunavyotaka mbona Mello tuko na kesi mahakamani ...........!!?

Zimbabwe wamefunga siyo kwa ajili ya kumsema Manangagwa bali kuzuia watu kuorganise maadmano kwa kupitia mtandao!!
 
Nyani, unajuaje huko tunakoelekea hatakuja kutufungia kama Zimbabwe ...........!!?

Kama kuna huo uhuru kama tunavyotaka mbona Mello tuko na kesi mahakamani ...........!!?

Zimbabwe wamefunga siyo kwa ajili ya kumsema Manangagwa bali kuzuia watu kuorganise maadmano kwa kupitia mtandao!!

Sina uwezo wa kuona ya mbeleni. Ndo maana siyazungumzii. Nayazungumzia ya sasa.
 
Nadhani hoja yako bwana ngabu imejikita kwenye intaneti kuzimwa au kutozimwa ukiiuhusisha na Uhuru wa kujieleza .

Tanzania intenenti haijawahi zimwa lakini Uhuru wanaotumia intaneti uko shakani kwa baadhi ya watu kutushikiriwa na mamlaka kutokana na kwamba kuandika maudhui yanayoleta msigishano dhidi ya serikali ilipo madarakani au maudhui yenye ukakasi .

Mifano hai ipo watu wameuliwa ,wamepotea kusikojulikana ,wameshikiriwa vituo vya polisi eti kisa tu kuandika comment kwenye social media wanazoziita kwa jina maalum la" uchochezi".

Unaweza kuwa na mdomo lakini kuwa na mdomo sio tiketi ya wewe kuzungumza maana unaweza zibwa kwa kitambaa,solitape au ukawa kibogoyo ukashindwa kuzungumza ilhali mdomo unao

Matukio mengi sana yametokea naamini umeyasikia ,umeyaona ,kama si kusimuliwa na uminywaji wa Uhuru wa kujieleza na sio kupitia intanent tu hata platform zingine .

Wasalaam

Bwanchuchu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.

Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.

Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.

Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .

Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.

Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.

Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.

Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.

Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?

Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.

Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?

Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
Usijfanye kipovu, tumia ID yako halisi kumsema ******** hapa kama kesho hawajakung'oa korodani...jifanye tu kama unajikuna
 
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.

Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.

Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.

Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .

Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.

Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.

Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.

Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.

Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?

Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.

Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?

Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!

MAKUFULI SIO DIKTETAR MPENI MAJINA YOTE LAKINI UJUE MNAMUONEA SANA MUNGU ANAWAONA


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Magufuli ukimuangalia kwa haraka haraka huwez kumwelewa utamtetea lkn ndo kina mseven design.
 
Back
Top Bottom