ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,554
- 3,749
sasa haya ndio mambo wanachadema tunategemea wayasemee ili kuteketeza unyanyasaji huu. nimeandika huu uzi baada ya kufanya research, na kusikia kwadogo mmoja anaitwa Tito magoti aliandika barua fulani kwa rais...dogo alikuwa gerezani na ameandika mengi sana ya gerezani....inaumiza sana.
Muhimu wote, Watanzania wote tuhimize utaratibu huu mengine mengi kama mateso, kupiga watu, kunyimwa chakula, ulawiti, kuwajaza watu wengi kama sisimizi sehemu ndogo yaondololewe.