Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
huyo anaandikaga za Lowassa tu
Bila vyombo vya habari yote haya yasingejulikana. Na ndio maana tume iliundwa. Usikariri tu.
Tukumbushe. Ni chombo gani na kililiport lini na wapi?
Hii si kwa waandishi tu hata humu JF.na hili linadhihirisha upumbavu wetu wa TANZANIA Tulipo andika kuhusu unyama unao fanyika humu JF tuliitwa wahamiaji haramu yakowapi sasa
katika taifa ambalo wandishi wanauliwa kwa kulipuliwa na mabomu wakiwa kazini, katika taifa ambalo waandishi wananyofolewa macho. binadamu ameumbwa na hofu.
ila Tokomeza imesaidia sana kupunguza uharamia na ujangili sababu imefanikiwa kushusha idadi ya Tembo wanauawa. mfano hapo awali ilikua tembo wawili(2) kila siku wanajangiliwa lakini toka Tokomeza imaenza walikufa tembo wawili tuu haya ni mafanikio. Kuhusu ilo swala la vyombo vya habari kwakweli sidhani kama wanasababu ya kulaumiwa sababu Operatin ya ndani ya hifadhi haikuwa rahisi kwao kwenda sababu ni mazingira hatarishi sana. Ila hizo habari za kufwatilia matukio ya kinyama wanayofanyiwa wananchi zimekua zikisikika kila leo. Mi kwa upande wangu nawashangaa sana wanaoipinga Tokomeza nadhani cha kufanya apo ni kuboresha utendaji wake na ufichuaji wa vitendo vya kinyama na kuvikomesha basi. ila we haramia ana silaha kali anajibizana nao kwa risasi apo nadhani kinachofwata lazima kiwe ni matokeo ya kujihami ambayo ni bayana kuwa ni vifo na majeraha. Labda mnielimishe kama kuna National Park journalists.
Mimi nitalaumu waandishi wa habari kama mtaniambia kuna angalau 2% yao walipata division 1&2 kwenye mitihanj ya form iv au angalau division 3 form six.
Else mnawaonea tu!