Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,080
- 136,564
- Thread starter
- #61
Hapo naomba kusaidiwa, haya majina tumejikuta tumeitwa hivyo ama kuandikishwa hivyo tangu tukiwa shule za awali. Je kuna ulazima wa kubadili jina ili niwe na local names???
Wala hakuna ulazima wa kubadili.
Lakini hilo halinizuii kushangaa.