Udhaifu wa Mwafrika

Mkuu hizi tabia chimbuko lake ni mila zetu. Hata ukienda chini mpaka level ya familia unafiki na uongo wana namna hii upo sana tu. Tatizo siyo akili, tatizo ni culture. Think about this: tuna mpaka msemo wa Kiswahili usemao "mgeni njoo mwenyeji apone". Ajabu kabisa. Unamtembelea mtu anajitutumua anatumia fedha nyingi kinyume na uwezo wake kukufurahisha. Halafu ukiondoka anaendelea na shida zake.
 

umenena ukweli mtupu na nivema tukaka chini na kuyafanyia kazi haya uliyonena.chukua LIKES Zote.shukran sana
 

kweli tupu;chukua like
 

well said chukua likes
 
Ajistukie?

Hapo ndo kwanza mwenzako anajiona yuko sophisticated kwa sana tu na anamwona Tumpale Mwaikambo kama mshamba flani hivi [kisa tu ana jina la kinyumbani].

Hahaha, aisee jina langu la kisambaa kabisa, nilimpa binti yangu jina la kilugha wife akataka kukataa nkamwambia toka na huyu mtoto kwangu kamtafutie baba yake, hapo ikabidi akubali, sasa wenzangu kila wakija kuuliza mtoto anaitwa nani nikiwatajia wanashangaa eti wanaswma siendi na wakati, wao watoto wao hasa wa kike wwngi wanawaita mara Glory, Shallon, yaani upuuzi mtupu daadeki, miafrika ndivyo tulivyo, nna hakika mwanangu darasan kwao mwenye jina la asili huenda akawa yeye tu, la baba la asili na la kwake la asili
 
acheni mawazo mgando hapo cyo kuhuau akili ya mwafrika,hapo ni kuhusu kuweka miji safi kila siku jambo lisababishwalo na uzembe wa viongoz husika. usihukumu akili za mwafrika kijana
 
acheni mawazo mgando hapo cyo kuhuau akili ya mwafrika,hapo ni kuhusu kuweka miji safi kila siku jambo lisababishwalo na uzembe wa viongoz husika. usihukumu akili za mwafrika kijana

Tena wewe akili zako zinamchanganiko na nongo ya maji ya mataulo ya guest house
 
yani ww zumbemkuu akili yako ndo dhaifu cyo yangu mkuu coz ushajiaminisha hvo na ndo itakuwa hvo.ila usije jf kutuaminisha upumbavuu
 
IQ ya mwafrika ni ndogo sana.angalia popote pale kwenye waafrika utagundua.
 
Mimi nimejaribu kujitoa kwenye tabia za kufanya kwaajili ya mgeni mimi kwangu nilivyo na ninachokula ndicho atachokula mgeni.
 
Ni kweli Nyani Ngabu, sisi waAfrika akili zetu zipo tofauti kabisa na kizazi cha kina Mkwawa ambao kamwe hawakumshobokea Mzungu/mgeni mashuhuri kutoka ughaibuni, wao ilikua ukija hovyo unapokea vitasa tu, hua nafikiri pengine kile kizazi kilituzidi uwezo wa kufikiri.
 
Last edited by a moderator:
Na kweli.

Maana unakuta eti Mhehe au Mngoni anaitwa Lilian Johnson!

Hapo naomba kusaidiwa, haya majina tumejikuta tumeitwa hivyo ama kuandikishwa hivyo tangu tukiwa shule za awali. Je kuna ulazima wa kubadili jina ili niwe na local names???
 




ON POINT!..............Thank you!

Mweleze huyo Ngabu .......Nyani mshabikia wazungu!.....huko aliko hatakikani tokea miaka elfu kenda iliyo pita.......waafrika wote sio sawa kama vile wanadamu hawakuumbwa wote sawa...rangi,kimo,uwezo wa akili,mwili,jinsia n.k

Tupo wengi tu tunaodumisha usafi kila siku kwa manufaa yetu wenyewe....kiafya na kimandhari.....and its inborn.
Japokua sisi sio viongozi na hatuna uwezo wa kusafisha miji mizima.


Mwisho, wengi wetu hatujidharau,tunajitambua na tunajipenda.....mimi sio duni kamwe.....mshauri Nyani huyo ,Ngabu amweleze mwanae pia yeye sio duni, bali anapaswa kujiamini,kudumisha usafi,kutunza mazingira na kutumia akili aloumbwa nayo...............kwa hivyo apotelee mbali.

 

Hiyo namba moja ni kweli na nimeiona kwa watu, nikashangaa sana!
 
Hapo naomba kusaidiwa, haya majina tumejikuta tumeitwa hivyo ama kuandikishwa hivyo tangu tukiwa shule za awali. Je kuna ulazima wa kubadili jina ili niwe na local names???

Watoto wako umewapa majina gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…