Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 471
Wana JF kumekuwa na kawaida ya kiti cha spika, kuwaomba uthibitisho wabunge wa upinzani pale wanapotoa hoja nzito zinazoihusu serikali ya CCM, Lakini cha kushangaza ni pale wakipewa vithibitisho walivyoomba wanagwaya kutoa maamuzi.
Leo mh Sakaya, alimuomba muongozo naibu spika juu ya vithibitisho alivyovileta bungeni ambavyo mpaka leo havikutolewa muongozo.
Bahadhi ya miongozo iliyopo kwa spika ni ile inayowahusu:
1]Mh Kabwe Zitto
2]Mh Kafulila
3]Mh Mchungaji Msigwa
4]Mh Sakaya. N.K
Wakati wanawaomba uthibitisho na muda anatoa. Ajabu spika akipewa uthibitisho anakuwa bubu...a? sielewi?
JE! NDUGU ZANGU HUU SI UDHAIFU?
NAOMBA KUWASILISHA.
Leo mh Sakaya, alimuomba muongozo naibu spika juu ya vithibitisho alivyovileta bungeni ambavyo mpaka leo havikutolewa muongozo.
Bahadhi ya miongozo iliyopo kwa spika ni ile inayowahusu:
1]Mh Kabwe Zitto
2]Mh Kafulila
3]Mh Mchungaji Msigwa
4]Mh Sakaya. N.K
Wakati wanawaomba uthibitisho na muda anatoa. Ajabu spika akipewa uthibitisho anakuwa bubu...a? sielewi?
JE! NDUGU ZANGU HUU SI UDHAIFU?
NAOMBA KUWASILISHA.