guru_observer
Senior Member
- Jan 25, 2020
- 171
- 295
- Thread starter
- #41
I mean, kama huna smart card, unaweza kuangalia bila kulipia app yao, utahitaji kuwa na bundle tuu ili ku access internet, lakini hutahitaji kufanya malipo kwenye app ili kupata channelInamaana hatakama sina bando naweza nikaangalia channel live.? Kama nihivyo nielekeze mkuu namna yakutumia smart card namba