guru_observer
Senior Member
- Jan 25, 2020
- 171
- 295
Ikiwa zimepita siku chache tuu tangu Azam wazindue application yao ya AzamTV Max nimeweza kubaini udhaifu uliopo kwenye application hiyo ambao unampa ruhusa mhalifu wa mtandao kupata channel hizo bure na kushare kwa watu wengine streaming links za channel hizo na kuweza kuziplay nje ya app ya AzamTV Max bila kulipia na bila limitation ya device, kwa kuwa link za channel zote zilizopo kwenye app hiyo zipo uchi (unprotected)
Mapendekezo kwa AzamTV
Suluhisho lake wanapaswa kuzuia link za channel zao zisifanye kazi nje ya server zao, naamini Azam wana IT wazuri wanaweza kufanyia kazi suala hilo
NB: nilitaka kutoa angalau link ya channel moja hapa kama evidence, lakini nimeona si hekima kufanya hivyo kwa kuwa sina umiliki wa content hizo na kwa kufanya hivyo ni uvunjifu wa sheria za nchi pia, lakini ninachoweza ni kushirikisha udhaifu uliopo ili wafanyie kazi.
Ahsanteni, natumaini watafanyia kazi suala hilo na endapo hawatafanyia kazi siku nyingine nitakuja na link moja tuu iliyopo kwenye app yao as evidence waone jinsi unavyoweza bypass na kuitumia app hiyo bure.
--------------------------------------------
UPDATES
---------------------------------------------------
Wapendwa naomba nipeni ushauri wa nini nikifanye maana hadi leo hii Azam hawajanijibu chochote licha ya kuwatumia ujumbe kwenye kurasa zao za Instagram pia niliwaandikia Official email kwa kutumia my secure email yangu ambayo haijawapa utambulisho wangu wowote (for my persona security) nikawajulisha kuhusu udhaifu huu mkubwa pamoja na kuwapa sample ya links zao za video kama uthibitisho lakini bado hawajafanyia kazi na hawajajibu chochote.
Lakini pia kuna mtu wao alinifuata PM akasema atafikisha jambo hili kwa department husika ya IT ila naona bado hakuna mrejesho wowote hadi leo.
Kwangu mimi naona hiyo ni kama dharau kubwa kwa taarifa muhimu niliyowapa, pia inanifikirisha sana kuhusu usalama wa data za wateja utakuwaje ikiwa wamepuuza (maana siamini kama hawawezi) kufuata mbinu za kiusalama kulinda contents zao wenyenye?.
Nimeambatanisha hapo pia email niliyowatumia
Sasa wadau naomba ushauri wenu mahususi na wenye hekima na busara je niziachie link hizi zizagae online ili wajifunze kupitia hili, au nikae nazo chumbani kwa matumizi binafsi, au nizitumie kutengeneza free version ya mobile app? ili siku nyingine wawe makini na wafanyie kazi taarifa wanazopewa na wasamaria wema mfano wangu? karibuni
Mapendekezo kwa AzamTV
Suluhisho lake wanapaswa kuzuia link za channel zao zisifanye kazi nje ya server zao, naamini Azam wana IT wazuri wanaweza kufanyia kazi suala hilo
NB: nilitaka kutoa angalau link ya channel moja hapa kama evidence, lakini nimeona si hekima kufanya hivyo kwa kuwa sina umiliki wa content hizo na kwa kufanya hivyo ni uvunjifu wa sheria za nchi pia, lakini ninachoweza ni kushirikisha udhaifu uliopo ili wafanyie kazi.
Ahsanteni, natumaini watafanyia kazi suala hilo na endapo hawatafanyia kazi siku nyingine nitakuja na link moja tuu iliyopo kwenye app yao as evidence waone jinsi unavyoweza bypass na kuitumia app hiyo bure.
--------------------------------------------
UPDATES
---------------------------------------------------
Wapendwa naomba nipeni ushauri wa nini nikifanye maana hadi leo hii Azam hawajanijibu chochote licha ya kuwatumia ujumbe kwenye kurasa zao za Instagram pia niliwaandikia Official email kwa kutumia my secure email yangu ambayo haijawapa utambulisho wangu wowote (for my persona security) nikawajulisha kuhusu udhaifu huu mkubwa pamoja na kuwapa sample ya links zao za video kama uthibitisho lakini bado hawajafanyia kazi na hawajajibu chochote.
Lakini pia kuna mtu wao alinifuata PM akasema atafikisha jambo hili kwa department husika ya IT ila naona bado hakuna mrejesho wowote hadi leo.
Kwangu mimi naona hiyo ni kama dharau kubwa kwa taarifa muhimu niliyowapa, pia inanifikirisha sana kuhusu usalama wa data za wateja utakuwaje ikiwa wamepuuza (maana siamini kama hawawezi) kufuata mbinu za kiusalama kulinda contents zao wenyenye?.
Nimeambatanisha hapo pia email niliyowatumia
Sasa wadau naomba ushauri wenu mahususi na wenye hekima na busara je niziachie link hizi zizagae online ili wajifunze kupitia hili, au nikae nazo chumbani kwa matumizi binafsi, au nizitumie kutengeneza free version ya mobile app? ili siku nyingine wawe makini na wafanyie kazi taarifa wanazopewa na wasamaria wema mfano wangu? karibuni