UDART wafungua kesi mahakamani kuzuia Serikali isilete muwekezaji mwingine kuendesha mwendokasi

Screenshot_20180512-113020.png
 
Serikali ifanye haraka sana kumpata muwekezaji mwingine mwenye uwezo wa kifedha. Asiwe kama yule mbabaishaji Kisena.
 
Nadhani wanapimana ubavu

Lakini kisena nikama mshika pembe tu huu mradi ni wawakubwa waliojificha nyuma take.

Kwa huu upuuzi unaofanyika ingekuwa ni hajashikwa mkono na vigogo Magu, baahite na waziri husika wangekuwa washoropoka chochote

Lakini kimya
 
udart waliagiza magari mapya zaidi 70 yamezuiliwa mpaka leo bandarini halafu kmbka eneo la ofisi na parking zao waliopewa na Serikali pale Jangwani mvua zimeshaharibu magari zaidi ya 20 kwa Mara mbili

Then kampuni ya bima imegomea kukava gharama za kutengeneza magari sababu wanaona magari kuhifadhiwa eneo kama Jangwani ni kujitakia
 
hayo mapya 70 yalikuwa yamalize kbsa uhaba wa magari dsm nayamepigwa pini mpka leo bandarini sasaa mwnye tatizo yupi udart au
 
Sasa wao wameshindwa kazi, wanataka serikali ifanye nini? Wanaruhusu magari machache sana kiasi abiria wanajaa mno vituoni na kusubiri magari kwa muda mrefu, pia wameshindwa kuendesha mfumo wa kulipia kwa kadi, hali hii hatuwezi kuivumilia.
 
Serikali ifanye haraka sana kumpata muwekezaji mwingine mwenye uwezo wa kifedha. Asiwe kama yule mbabaishaji Kisena.
Kisema na former and current citizen one samesame shida iko wapi? Ukawa waliwahi kusema mkawapuuza leo vipi?
 
UDART futeni hiyo kesi! Itawagharimu sana na itafukua makaburi ya ufisadi! Tumieni huo ushindani waujio wa mwekezaji mpya kama fursa kwenu kwa kuboresha huduma za usafiri mzitoazo jijini!
Ushauri mzuri sana huu kwa Juma Kapuya, Idd Simba na Robert Simon Kisena ambao wana shares nyingi kwenye UDA. Serikalinikianza kufukua makaburi ya namna walivyouziana kihuni jii kamluni nadhani hapatatosha. JIWE hajaribiwi sometimes.
 
udart waliagiza magari mapya zaidi 70 yamezuiliwa mpaka leo bandarini halafu kmbka eneo la ofisi na parking zao waliopewa na Serikali pale Jangwani mvua zimeshaharibu magari zaidi ya 20 kwa Mara mbili

Then kampuni ya bima imegomea kukava gharama za kutengeneza magari sababu wanaona magari kuhifadhiwa eneo kama Jangwani ni kujitakia
Bandari hawawezi kuzuia magari kama mjusika amelipa kodi stahiki. Je hayo magari yamelipiwa kodi na ushuru WOTE unaotakiwa?
 
Mungu asaidie aje huyo muwekazaji mwingine,maana hawa UDART wameshindwa kabisa kabisa,wanatujaza vituoni muda mwingi mabasi hakuna,na yakija mfano pale grezani yanaishia kupaki tu pembeni bila kuwatangazia wateja nini kinaendelea,au linakuja kituoni na bila kusimama likiwaacha abiria midomo wazi,waishie zao hawa,mradi umewashinda huu
 
udart waliagiza magari mapya zaidi 70 yamezuiliwa mpaka leo bandarini halafu kmbka eneo la ofisi na parking zao waliopewa na Serikali pale Jangwani mvua zimeshaharibu magari zaidi ya 20 kwa Mara mbili

Then kampuni ya bima imegomea kukava gharama za kutengeneza magari sababu wanaona magari kuhifadhiwa eneo kama Jangwani ni kujitakia
Nadhani Bima wapo sahihi kutolipa
 
Siku chache baada ya Serikali kutangaza kupata mwekezaji wa pili wa Mradi wa Usafiri wa Mabasi yaendayo haraka Dar Es Salaam (DART), mwendeshaji wa kwanza wa mradi huo, Kampuni ya Uda-Rapid Transit (UDART) ametua mahakamani na kuishitaki Serikali. [HASHTAG]#Mtanzania[/HASHTAG]
Ni haki yao maana nyie Serikali mnataka kufanya kila kitu siasa acha mburuzwe mahakamani
 
Back
Top Bottom