Marconho
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 287
- 444
*profesa mmoja aliwaambia wanachuo wake kazi ya udaktari inahitaji vitu viwili ''kutokuwa na kinyaa na umakini'' akaingiza kidole puani mwa maiti kisha akalamba,akawaamuru nao wafanye hvyo wakafanya akawaambia kwenye kutokuwa na kinyaa mmefaulu
kwenye umakini mmefeli,mimi niliingiza cha kati nikalamba cha pili unaambiwa kilichotokea dokta alizikwa kabla ya maiti*
kwenye umakini mmefeli,mimi niliingiza cha kati nikalamba cha pili unaambiwa kilichotokea dokta alizikwa kabla ya maiti*