Udaktari ni wito

Marconho

JF-Expert Member
Jan 4, 2015
287
444
*profesa mmoja aliwaambia wanachuo wake kazi ya udaktari inahitaji vitu viwili ''kutokuwa na kinyaa na umakini'' akaingiza kidole puani mwa maiti kisha akalamba,akawaamuru nao wafanye hvyo wakafanya akawaambia kwenye kutokuwa na kinyaa mmefaulu

kwenye umakini mmefeli,mimi niliingiza cha kati nikalamba cha pili unaambiwa kilichotokea dokta alizikwa kabla ya maiti*
 
*profesa mmoja aliwaambia wanachuo wake kazi ya udaktari inahitaji vitu viwili ''kutokuwa na kinyaa na umakini'' akaingiza kidole puani mwa maiti kisha akalamba,akawaamuru nao wafanye hvyo wakafanya akawaambia kwenye kutokuwa na kinyaa mmefaulu kwenye umakini mmefeli,mimi niliingiza cha kati nikalamba cha pili unaambiwa kilichotokea dokta alizikwa kabla ya maiti*
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom