Udafisi: Mbinguni ni wapi endapo binadamu tukifa tunazikwa Ardhini?

Udafisi: Mbinguni ni wapi endapo binadamu tukifa tunazikwa Ardhini?

Ufahamu wako hapo ndo ulikofika! Maana nikikuuliza Mungu anaishi wapi utaniambia ni mbinguni, nikikwambia mbinguni umewahi kufika utaniambia hapana! Nikikuuliza shetani yupo utaniambia ndio nikikuuliza anaishi wapi utaniambia ni kuzimu je kuzimu ni wapi???? Mungu alipomuumba mwanadamu alimpa ukomo wa kufikiri na kuwaza, ndo maana mambo ukianza kujiuliza hayana majibu! Kwa hiyo amini kwamba Mungu yupo na kama Mungu yupo amini kwamba mbingu ni halisi na kuzimu ni halisi, kinachobaki ishi kwa imani ndipo utakapompendeza Mungu! Siri zote za wapi mwanadamu anaenda baada ya kifo zimeandikwa kwenye biblia, na kinachozikwa ni mwili tu lakini roho ambayo ndio uhalisi wa mtu huwa haipo toka huyo mtu alipokata pumzi siku ya kwanza! Na kwa nini mwili unaenda mavumbini biblia imeeleza!! Tatizo binadamu ni wabishi sana hamtaki kusoma biblia, hamtaki kuokoka na kumwamini Yesu!
Note: bila kumwamini Yesu amini kwamba utatupwa motoni na baada ya kifo unaenda kuzimu! Kuzimu na mbinguni ni sehemu ambazo zinafikika kupitia kifo tu! Bila kufa hizi sehemu huwezi kufika! Maana zinatambulikana kwa jinsi ya Rohoni!!
 
Ufahamu wako hapo ndo ulikofika! Maana nikikuuliza Mungu anaishi wapi utaniambia ni mbinguni, nikikwambia mbinguni umewahi kufika utaniambia hapana! Nikikuuliza shetani yupo utaniambia ndio nikikuuliza anaishi wapi utaniambia ni kuzimu je kuzimu ni wapi???? Mungu alipomuumba mwanadamu alimpa ukomo wa kufikiri na kuwaza, ndo maana mambo ukianza kujiuliza hayana majibu! Kwa hiyo amini kwamba Mungu yupo na kama Mungu yupo amini kwamba mbingu ni halisi na kuzimu ni halisi, kinachobaki ishi kwa imani ndipo utakapompendeza Mungu! Siri zote za wapi mwanadamu anaenda baada ya kifo zimeandikwa kwenye biblia, na kinachozikwa ni mwili tu lakini roho ambayo ndio uhalisi wa mtu huwa haipo toka huyo mtu alipokata pumzi siku ya kwanza! Na kwa nini mwili unaenda mavumbini biblia imeeleza!! Tatizo binadamu ni wabishi sana hamtaki kusoma biblia, hamtaki kuokoka na kumwamini Yesu!
Note: bila kumwamini Yesu amini kwamba utatupwa motoni na baada ya kifo unaenda kuzimu! Kuzimu na mbinguni ni sehemu ambazo zinafikika kupitia kifo tu! Bila kufa hizi sehemu huwezi kufika! Maana zinatambulikana kwa jinsi ya Rohoni!!
Umeanza vizuri ila finishing hapo mwishoni umeongeza zero mkuu
 
Ufahamu wako hapo ndo ulikofika! Maana nikikuuliza Mungu anaishi wapi utaniambia ni mbinguni, nikikwambia mbinguni umewahi kufika utaniambia hapana! Nikikuuliza shetani yupo utaniambia ndio nikikuuliza anaishi wapi utaniambia ni kuzimu je kuzimu ni wapi???? Mungu alipomuumba mwanadamu alimpa ukomo wa kufikiri na kuwaza, ndo maana mambo ukianza kujiuliza hayana majibu! Kwa hiyo amini kwamba Mungu yupo na kama Mungu yupo amini kwamba mbingu ni halisi na kuzimu ni halisi, kinachobaki ishi kwa imani ndipo utakapompendeza Mungu! Siri zote za wapi mwanadamu anaenda baada ya kifo zimeandikwa kwenye biblia, na kinachozikwa ni mwili tu lakini roho ambayo ndio uhalisi wa mtu huwa haipo toka huyo mtu alipokata pumzi siku ya kwanza! Na kwa nini mwili unaenda mavumbini biblia imeeleza!! Tatizo binadamu ni wabishi sana hamtaki kusoma biblia, hamtaki kuokoka na kumwamini Yesu!
Note: bila kumwamini Yesu amini kwamba utatupwa motoni na baada ya kifo unaenda kuzimu! Kuzimu na mbinguni ni sehemu ambazo zinafikika kupitia kifo tu! Bila kufa hizi sehemu huwezi kufika! Maana zinatambulikana kwa jinsi ya Rohoni!!
Bado pia biblia Ina maswali mengi ambayo hayana majibu pia
 
Maneno yasiwe mengi ebu tuumize akili shusheni majibu tafadhari
Siamini katika mbingu na mambo mengine yakinadharia yahusuyo roho na blabla nyengine za mizimu na wachawi..!!

Kama ambavyo ulikuwa hujitambui, haupo, si kitu si lolote kabla haujazaliwa ndivyo hivyohivyo ukifa unakuwa ktk hiyo zone ya si lolote, bila utambuzi.
Hakuna cha mbingu sijui ulipuliziwa pumzi ukaanza kuishi hizo ni longolongo za kitapeli tu watu wapitishe vitu vyao!, Dini na mafundisho yake yanatumika kutawala wengine na hao wanaotawala wanafaidika kifedha, wadhifa na heshima kwenye jamii lakini ni ulaghai ambao nakuapia karne zijazo ambapo ujinga huu utakapokuja kuondoka, basi vizazi vijavyo vitasoma jambo hili la dini kama jambo la "KIJINGA" ambalo limewahi kuwepo katika karne kadhaa!.

sawasawa na vile sisi tunavyosoma hivi sasa maswala ya utumwa athari zake n.k. Mpaka kuwashangaa akina mangungo walivyokuwa wanasaini mikataba ya hovyo nakuuza watu wake kwa vitu vya ajabu!.

So, ukifa hakuna chochote kinaendelea dhidi yako!. wewe ni ufahamu ukizima ndo umezima hakuna linalooendelea tena!.
 
Back
Top Bottom