GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Wanabodi, Nakubaliana na usemi usemeo uwezo wa kufikiri wa Raia wa Tanzania ni mdogo sana yaani intelligent quotient au wengine huiita ( I Q ).Hata kuna muda mimi baadhi ya watu huwa nawaita wamethibitishwa na taaluma maalumu yaani "CERTIFIED"
Ingawa wengine huwezi kuwabadili hata kuwabadili mawazo bado akili zao zinaendeshwa na matukio na hupenda kujadili yanayowafurahisha huwa tunawaita " CERTIFIED IDIOT "
Back to the Topic
Uchumi wa Tanzania kwa miaka mingi umeendeshwa na watu wa Asia huko yaani India, Na hii inatokana na historia ya jamii hapa duniani, Maeneo mengi barani Africa wahindi ni watu wanaoishi katikati ya mji kabisa yaani "Central business District "na hujihusisha na biashara ya Import ( kuingiza bidhaa toka nje) na Export ( kupeleka bidhaa zetu nje hasa mazao kwa Tanzania)
Je ? Wameajiri watu wangapi na hizi hotel kubwa au Hivi viwanda Vikubwa vinamilikiwa na nani ? Na wataalamu wa kuviendesha wenzetu wnawatoa wapi, Wengi hao wataalamu wanawaomba kwenye viwanda vya ndugu zao India
Tupingane kwa hoja lakini sio kwa kutumia taaluma maalumu yaani Certified Idiot
Kuna muda nafikiri bora kile cheti changu cha taaluma maalumu nikirudishe london, Maana wengi tulithibitishwa Kama Idiot
Yanayotokea yatamaliza ajira za wengi sana baada ya wahusika kuondoka, Watanzania hata wakipewa mtaji hawana tabia ya biashara kubwa kubwa, Wamezoea biashara za ulanguzi
Ingawa wengine huwezi kuwabadili hata kuwabadili mawazo bado akili zao zinaendeshwa na matukio na hupenda kujadili yanayowafurahisha huwa tunawaita " CERTIFIED IDIOT "
Back to the Topic
Uchumi wa Tanzania kwa miaka mingi umeendeshwa na watu wa Asia huko yaani India, Na hii inatokana na historia ya jamii hapa duniani, Maeneo mengi barani Africa wahindi ni watu wanaoishi katikati ya mji kabisa yaani "Central business District "na hujihusisha na biashara ya Import ( kuingiza bidhaa toka nje) na Export ( kupeleka bidhaa zetu nje hasa mazao kwa Tanzania)
Je ? Wameajiri watu wangapi na hizi hotel kubwa au Hivi viwanda Vikubwa vinamilikiwa na nani ? Na wataalamu wa kuviendesha wenzetu wnawatoa wapi, Wengi hao wataalamu wanawaomba kwenye viwanda vya ndugu zao India
Tupingane kwa hoja lakini sio kwa kutumia taaluma maalumu yaani Certified Idiot
Kuna muda nafikiri bora kile cheti changu cha taaluma maalumu nikirudishe london, Maana wengi tulithibitishwa Kama Idiot
Yanayotokea yatamaliza ajira za wengi sana baada ya wahusika kuondoka, Watanzania hata wakipewa mtaji hawana tabia ya biashara kubwa kubwa, Wamezoea biashara za ulanguzi