Umasikini wa wananchi umeongezeka sana.
uwezo wa wananchi kununua umepungua
Biashara haziendi sawa, wafanyabiashara hawapati faida.
wafanyakazi wanapunguzwa
Biashara zinafungwa
serikali haipati kodi ya kutosha
udhaifu wa serikali kukusanya kodi