Uchumi wa Marekani hoi

Uchumi wa Marekani hoi

We hujui sasa hivi kazi ya kupiga BOX ndo inapamba moto?
Mambo yakiwa poa kuna kazi ya Box,
mambo yakiharibika kuna kazi ya BOX
Sisi tupo katikati,
Wakienda juu wanatuhitaji tuwapeleke juu,
Wakishuka chini wanatuhitaji tuwapeleke chini.

Kilichotukimbiza Tanzania sasa kina wajukuu,
Hicho kitu,
Ndo kinafanya watu wajae Dar na miji mingine kuliko vijijini,
ndo kinacho nyang'anya ardhi Geza ulole kwa malofa,
kuwapa Wabunge Mawaziri Ikulu na familia zao
hata kama huko Dar wanakula unga ROBO mtu 7,
mtu bado inakanyagana tu.

Huku unamtumikia Kafir pia unakula na kusaza.

Tukirudi mpambano utakuwa mkali na nyie, IS and WAS inapanda,
Wanna Gonner nazo pia, Wo thapu DUuudu? ulimi laiiiiini.
Si unajua tena nchi imepigwa mnada kila mwajiri anataka wajua IS and a WAS?

Kazi ya box atakupa nani wakati kuna Wamarekani hawana kazi? Au wewe mzungu anakulalia hata minimum wage hakulipi?
 
Ukiendesha kajimkweche ka Kijapan
moshi kibao ring piston zimekatika,
tayari we Middle Class

Hao ni machinga na ma house girls. Watu wenye heshima wanaendasha Ma prado, VX, X5, n.k. tena mpyaaa.
 
Hao ni machinga na ma house girls. Watu wenye heshima wanaendasha Ma prado, VX, X5, n.k. tena mpyaaa.

Kwa hiyo machinga na ma house girls si watu wenye heshima kisa hawaendeshi ma prado, VX, X5, n.k. tena yaliyo mapyaaa?
 
What you see is not all that can be seen.

What you hear is not all that you can hear.

Do you believe everything you hear?

Kazi ya box atakupa nani wakati kuna Wamarekani hawana kazi? Au wewe mzungu anakulalia hata minimum wage hakulipi?
 
Habari hapo juu umeisoma?

Haina jipya.Hizi ni habari ambazo watu wasiojua kinachoendelea duniani ndo wanazishabikia.Wengine hatuna muda na vinavyotangazwa bali visivyotangazwa!
 
Kuwa na viwanda siyo ishu sana. Mbona Bermuda hakuna viwanda lakini maisha ni mswano? Visiwa vingi tuu vya pale Caribean wana maisha mswano. Na ukitembelea South America kuna nchi nyingi ambazo zina middle class kubwa. Ishu ya mishahara ya madaktari na walimu ni complicated. Nchi zingine udaktari ni fani ambayo ni ngumu sana kuingia na kwa sababu hiyo demand inakuwa kubwa. Demand ikiongezeka na supply ikipungua lazima mishahara itapanda. Usichanganye hii ishu na uchumi kuendelea.
Hivi, utalii bongo umeshafikia stage ya kuwa kama industrial business? Kwa sababu kwa wenzetu uliowataja Bermuda na Carribean islands, utalii ndio biashara kubwa inayowaletea kipato. Sisi tunauza nini cha maana leo kwenye soko la dunia?
Tumetajwa kuwa 3rd gold producer in the world lakini hiyo gold tumewagawia wazungu. What a shame.
 
Watu wana mihela sana bongo. Pili, watu wamejenga majumba, tatu watu wamenunua mashamba. Nne barabara nyingi mswano. Tano, watu wanasukuma michuma ya nguvu. Kila gari utaliona bongo siku hizi. Hivi vyote havikuwepo zamani.

Kwa hiyo hivi vitu ndiyo vinakufanya useme uchumi umekuwa kwa 6%?. Wewe unaangalia 0.2% ya watanzania wenye hivyo vitu. 99.8% ya watanzania ni masikini sana, acha kuangalia Dar es Salaam tu ambako 99% ya wezi wa mali ya umma wanaweka mali zao. Nenda Tandahimba, au Isukamahela au Bonde.

Mimi nilidhania utanieletea list hii hapa, ambayo ndiyo hasa itakupatia uhalali wa kuongelea kukua kwa uchumi, ni vijana wangapi hawana ajira leo?:
1. Unemployment rate (Too high)
2. Quits rate
3. Housing start (too low)
4. Consumer price index (a measure of inflation) - High inflation
5. Industrial production – Almost zero
6. Bankruptcies – Very high, the Govt itself is bankrupt
7. Gross Domestic Product – can you say about this?
8. Retail sales – almost stagnant
9. Money supply changes - low with the exception of outliers most of them are corrupt Govt officials and their families
 
Kujibu hicho kijiswali chako cha nani mpumbavu - wewe na mama yako ndiyo wapumbavu.
Hiyo bado sio hoja, mtu aki call out udhaifu wa hoja zako usihamaki, tulia ujipime, huwezi kujua yote na kuwa sawa kila wakati. Ukweli unabaki kwamba umekosea kusema kwamba kwenu watu wananuka vikwapa na kuna "mivumbi" na hakuna Maserati na 2012 Infinity FX. Huo unaitwa ulimbukeni.

Mtu mzima hawezi kutukana nchi yake kwa vile eti hakuna "2012 Infinity FX" pamoja na Maserati. Hayo ni mazungumzo ya watoto wa darasa la nne, wewe umetoka nje ya nchi lakini exposure uliyopata sio inayoweza kutusaidia, badala yake unatueleza habari ya magari ya Maserati. Mawazo hayo yana udhaifu.


Na kuanzia sasa unapuuzwa tu.
Si kwamba unapuuza, nadhani ni kwa vile huna hoja, umeshikwa pabaya. Umeishi ng'ambo halafu mchango unaotuletea kwenye national discourse ni habari ya magari ya Maserati! Kizazi cha diaspora, tunategemea zaidi kutoka kwako.
 
Kwa hiyo hivi vitu ndiyo vinakufanya useme uchumi umekuwa kwa 6%?. Wewe unaangalia 0.2% ya watanzania wenye hivyo vitu. 99.8% ya watanzania ni masikini sana, acha kuangalia Dar es Salaam tu ambako 99% ya wezi wa mali ya umma wanaweka mali zao. Nenda Tandahimba, au Isukamahela au Bonde.

Mimi nilidhania utanieletea list hii hapa, ambayo ndiyo hasa itakupatia uhalali wa kuongelea kukua kwa uchumi, ni vijana wangapi hawana ajira leo?:
1. Unemployment rate (Too high)
2. Quits rate
3. Housing start (too low)
4. Consumer price index (a measure of inflation) - High inflation
5. Industrial production – Almost zero
6. Bankruptcies – Very high, the Govt itself is bankrupt
7. Gross Domestic Product – can you say about this?
8. Retail sales – almost stagnant
9. Money supply changes - low with the exception of outliers most of them are corrupt Govt officials and their families

Huyo kmdh ukimjua wala hutahangaika na mambo kama hayo uliyoorodhesha. You can't reason with him.

Ni kwenda naye kama alivyo tu.
 
Hivi, utalii bongo umeshafikia stage ya kuwa kama industrial business? Kwa sababu kwa wenzetu uliowataja Bermuda na Carribean islands, utalii ndio biashara kubwa inayowaletea kipato. Sisi tunauza nini cha maana leo kwenye soko la dunia?
Tumetajwa kuwa 3rd gold producer in the world lakini hiyo gold tumewagawia wazungu. What a shame.

Jasusi hulali ndugu yangu? Au uko bongo?
 
Kazi ya box atakupa nani wakati kuna Wamarekani hawana kazi? Au wewe mzungu anakulalia hata minimum wage hakulipi?

Kima cha chini cha wanuka vikwapa na wala vumbi ni kiasi gani?
 
Ukija kiustaarabu utapata majibu ya kistaarabu.

Sasa basi, kwa kuanza tu kujibu hivyo vihoja vyako, tuangalie kilichopelekea mimi kuuliza baadhi ya maswali na kusema baadhi ya vitu.

Hivi ndivyo alivyoandika kmdh

Watu wana mihela sana bongo. Pili, watu wamejenga majumba, tatu watu wamenunua mashamba. Nne barabara nyingi mswano. Tano, watu wanasukuma michuma ya nguvu. Kila gari utaliona bongo siku hizi. Hivi vyote havikuwepo zamani.

Nami nikamjibu kwa kuandiki na kuuliza kama ifuatavyo.

Wewe acha uongo wako wewe. Mimi mwezi uliopita tu nilikuwa bongo huwezi kunidanganya kitu.

Barabara nyingi gani hizo ambazo ziko mswano? Dar es salaam hapo ni mivumbi tu kwa kwenda mbele. Na michuma gani ya nguvu unaongelea wewe? Vigari vingi Tanzania ni vichakavu.

Eti kila gari utaliona bongo...nani hapo ana hata 2012 Infiniti FX au hata Maserati GranTurismo Range?

Na eti watu wana mihela bongo...wangekuwa wana mihela wangenuka vikwapa hivyo? Kwenda zako huko na njozi zako

Sasa wewe umekurupuka na kuanza kusadiki sadiki

Hiyo bado sio hoja, mtu aki call out udhaifu wa hoja zako usihamaki, tulia ujipime, huwezi kujua yote na kuwa sawa kila wakati.

Okay.....
Ukweli unabaki kwamba umekosea kusema kwamba kwenu watu wananuka vikwapa na kuna "mivumbi" na hakuna Maserati na 2012 Infinity FX. Huo unaitwa ulimbukeni.

Ndiyo, nimesema Tanzania watu wananuka vikwapa na kuna mivumbi tena mingi tu. Huo ni ukweli mtupu na sijakosea hata chembe. Ngoja nirudie tena. Tanzania watu wengi sana wananuka vikwapa na mivumbi iko kila sehemu hadi hata kwenye barabara za lami.

Mtu mzima hawezi kutukana nchi yake kwa vile eti hakuna "2012 Infinity FX" pamoja na Maserati. Hayo ni mazungumzo ya watoto wa darasa la nne, wewe umetoka nje ya nchi lakini exposure uliyopata sio inayoweza kutusaidia, badala yake unatueleza habari ya magari ya Maserati. Mawazo hayo yana udhaifu.

Kwanza hujui kama mimi ni mtu mzima. Pili, hilo la 2012 Infiniti FX(na siyo "Infinity" kama ulivyoandika wewe) na Maserati lilikuwa swali kwa kmdh aliyesema kwamba watu wanasukuma michuma ya nguvu na kwamba kila gari utaliona bongo siku hizi.

Ndiyo nami nikauliza nani Tanzania mwenye hayo magari, kwa mfano tu. Lilikuwa ni swali na si kauli. Ningesema Tanzania hakuna 2012 Infiniti FX wala Maserati hapo ningekuwa nimetoa kauli.

Si kwamba unapuuza, nadhani ni kwa vile huna hoja, umeshikwa pabaya.
Haya ni maruweruwe yako tu.
Umeishi ng'ambo halafu mchango unaotuletea kwenye national discourse ni habari ya magari ya Maserati!
Aliyeanza kuzungumzia magari ni huyo mwanzisha mada na si mimi. Mimi niliuliza tu kuhusu hiyo michuma ya nguvu. Halafu hujui ninapoishi wala nilipoishi.
Kizazi cha diaspora, tunategemea zaidi kutoka kwako.
Mnategemea zaidi kwani tulipatana? Jitegemeeni wenyewe.
 
Mnategemea zaidi kwani tulipatana? Jitegemeeni wenyewe.
Na ndio maana wengine tunapinga wazo la kuwapa kizazi cha diaspora uraia kuwili, inaonekana wengi hawana sense of national fealty na hamna msaada wowote zaidi ya kuja mara moja moja kutuambia tunanuka vikwapa.

I am a proudful nationalist ambae, badala ya kutukana kwamba kwetu kuna "mivumbi" na watu wananuka vikwapa, najaribu kuelewa context ya umasikini wa nchi yetu na kujiuliza, tufanyeje tuondoe haya mavumbi, tufanyeje tusinuke vikwapa? Sio kutukana, nakuna kichwa na kujaribu kusaidiana na wananchi wenzangu tuitoe nchi yetu hapa tulipo.


Ndiyo, nimesema Tanzania watu wananuka vikwapa na kuna mivumbi tena mingi tu.
Well, ukitoka kwenu ukaenda kulalamika pembeni kwamba kwenu kuna "mivumbi" watakuuliza unataka nani akusafishie, jirani? Mtu wa kizazi cha diaspora akitukana huo ni ulimbukeni kwa sababu wewe umekimbilia nchi za wengine halafu unakebehi waliobaki kujaribu kuleta mabadiliko. Bora aliyebaki nyumbani kuliko mkimbizi wa kiuchumi anaetukana kwao, ni ushamba, yani, hujaelimika na exposure uliyoipata kwa kuwepo nje ya nchi.

Kwanza hujui kama mimi ni mtu mzima.
Kwa hiyo unakubali kwamba una hoja za watoto wadogo, wa darasa la tatu ambao huulizana, "ushawahi kuliona Maserati jipya wewe?"

Pili, hilo la 2012 Infiniti FX(na siyo "Infinity" kama ulivyoandika wewe) na Maserati lilikuwa swali kwa kmdh aliyesema kwamba watu wanasukuma michuma ya nguvu na kwamba kila gari utaliona bongo siku hizi.
Well, hiyo haina maana kwamba kila gari litakuwepo Tanzania. Hata nchi kama Japana hakuna kila gari, kwa mfano, kuna Toyota pick up trucks nzito na kubwa (5.7L engines) zinatengezwa na Wajapani kwa ajili ya market ya USA tu, kwa sababu watu wa huko ni wakubwa, hawajali magari yanayobugia mafuta, na nchi ni kubwa yenye nafasi ya magari makubwa, tofauti na Japan. Hivyo, sio kila gari itakuwepo kila nchi.
Halafu hujui ninapoishi wala nilipoishi.
Wewe mwenyewe umeshajisemesha hapa "mwezi jana nilikuwa bongo." Hiyo ni kauli ya mtu ambae hayuko Bongo na anaetaka tujue anakuja mara moja moja tu. Sasa ni aibu kwa mkimbizi wa kiuchumi kutukana nchi yake kwamba tunanuka vikwapa wakati yeye hana idea mpya ya kimaendeleo, na yalishamshinda akakimbia. Huu ndio ujumbe ninaojaribu kuwatumia ndugu zangu wa kizazi cha diaspora.

 
Na ndio maana wengine tunapinga wazo la kuwapa kizazi cha diaspora uraia kuwili, inaonekana wengi hawana sense of national fealty na hamna msaada wowote zaidi ya kuja mara moja moja kutuambia tunanuka vikwapa.

Hii ya mimi kuwa m-diaspora unaitoa wapi wewe? Do you know my principal place of abode? Na haijalishi kama wewe na wenzako mnapinga dual citizenship, mimi ni Mtanzania na hakuna atakayeniny'ang'anya Utanzania wangu. Hakuna.
I am a proudful nationalist
Good for you. Ila mbona hutumii jina la Kitanzania hapa foramuni?
ambae, badala ya kutukana kwamba kwetu kuna "mivumbi" na watu wananuka vikwapa, najaribu kuelewa context ya umasikini wa nchi yetu na kujiuliza, tufanyeje tuondoe haya mavumbi, tufanyeje tusinuke vikwapa? Sio kutukana, nakuna kichwa na kujaribu kusaidiana na wananchi wenzangu tuitoe nchi yetu hapa tulipo.
Na mpaka sasa umeshafanya nini kilicho tangible (zaidi ya kuchonga domo hapa) ili kuondokana na dhiki iliyopo?

Well, ukitoka kwenu ukaenda kulalamika pembeni kwamba kwenu kuna "mivumbi" watakuuliza unataka nani akusafishie, jirani?
Mimi sijalalamika. Nimesema tu jinsi hali halisi ilivyo. Na nimesemea hapa kwenye foramu ya Kitanzania. Sikwenda Ghanaweb.com kulalamika.
Mtu wa kizazi cha diaspora akitukana huo ni ulimbukeni kwa sababu wewe umekimbilia nchi za wengine halafu unakebehi waliobaki kujaribu kuleta mabadiliko.
Kama ukweli ni matusi then so be it. Nitaendelea kuusema daima bila uoga, ima fa ima.
Bora aliyebaki nyumbani kuliko mkimbizi wa kiuchumi anaetukana kwao, ni ushamba, yani, hujaelimika na exposure uliyoipata kwa kuwepo nje ya nchi.
Bado unaendelea tu kusadiki. Wamarekani wana msemo wao usemao 'when you assume you make an ass out of yourself'.
Brazakaka, hujui nilipo na hujui nifanyacho. Kama nasoma je? Kama nafanya kazi ubalozini je? Kama nipo tu nje kibiashara je? Hujui kama mimi ni mkimbizi wa kiuchumi au la. Hujui.
Kwa hiyo unakubali kwamba una hoja za watoto wadogo, wa darasa la tatu ambao huulizana, "ushawahi kuliona Maserati jipya wewe?"
Sina hoja za kitoto lakini uko huru kuamua mwenyewe kama ninazo au la. Sijali sana wewe unavyoona.
Well, hiyo haina maana kwamba kila gari litakuwepo Tanzania. Hata nchi kama Japana hakuna kila gari, kwa mfano, kuna Toyota pick up trucks nzito na kubwa (5.7L engines) zinatengezwa na Wajapani kwa ajili ya market ya USA tu, kwa sababu watu wa huko ni wakubwa, hawajali magari yanayobugia mafuta, na nchi ni kubwa yenye nafasi ya magari makubwa, tofauti na Japan. Hivyo, sio kila gari itakuwepo kila nchi.
Nakusihi urejee tena alichoandika kmdh kwenye bandiko namba 25. Yeye ndiyo kasema kila gari lipo siku hizi, nanukuu
"Kila gari utaliona bongo siku hizi". Sasa hebu muulize alikuwa na maana gani aliposema hivyo.
Wewe mwenyewe umeshajisemesha hapa "mwezi jana nilikuwa bongo." Hiyo ni kauli ya mtu ambae hayuko Bongo na anaetaka tujue anakuja mara moja moja tu.
Hizi ni tafsiri zako tu.
Sasa ni aibu kwa mkimbizi wa kiuchumi kutukana nchi yake kwamba tunanuka vikwapa wakati yeye hana idea mpya ya kimaendeleo, na yalishamshinda akakimbia. Huu ndio ujumbe ninaojaribu kuwatumia ndugu zangu wa kizazi cha diaspora.
More making an ass out of yourself!!

 
Back
Top Bottom