Uchumi wa Kenya wazidi kuelekea kuzimu, deni la Taifa kufikia $72B baada ya bajeti ya leo

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613


Kenya itakopa kiasi cha $1.3B ili kujazia pengo la bajeti yake ya 2020/2021, hivyo kulifanya deni la Taifa la Kenya kufikia takriban $72B ifikapo September mwaka huu.

Tanzania deni lake la Taifa limepungua hadi kufikia $26B, kati ya hizo $18B ni mikopo ya ndani, na $8B ni mikopo toka nje ya nchi.
 
hawa wehu watakuja hapa jisifu wanauchumi mkubwa afrika mashariki kumbe wana wapigaji wakubwa Afrika nzima

World Bank Approves $1 Billion Financing for Kenya, to Address COVID-19 Financing Gap and Support Kenya’s Economy on top of that washaongeza uwezo wa kuhimili mkopo hadi wanajikuta wanalipa ela nyingi kuliko hata ya kufanyia maendeleo

Kenya: €188m African Development Bank loan to boost COVID-19 response

hata kenyata akiondoka lazima waje kuuzwa

Kenya non-performing loans hit 13-year high due to COVID-19 - CNBC Africa

The ratio of non-performing loans in Kenya have hit a 13-year high due to the shocks caused by the covid-19 pandemic. Central Bank data indicate that bad loans increased to 13.1 per cent, the highest since 2007 when they stood at 14.1 per cent.
 
Kenya itakopa kiasi cha $1.3B ili kujazia pengo la bajeti yake ya 2020/2021, hivyo kulifanya deni la Taifa la Kenya kufikia takriban $72B ifikapo September mwaka huu.

Tanzania deni lake la Taifa limepungua hadi kufikia $26B, kati ya hizo $18B ni mikopo ya ndani, na $8B ni mikopo toka nje ya nchi.
 
Acha kuniletea sources za kichawi ati ni evidence. Our finance minister just said that our public debts stand at 57% of the GDP. That's around $53b. I know huwa kinakuuma sana kuona Kenya wanalia deni yao on time, sio kama nyinyi wenye mnashindia kulipa deni hadi msamehewe.
Majuzi ilikuwa USD 60B! Ikashukaje sasa wakati daily mnakopa!
 
Don't forget we also pay other existing debts. We are not Tanzania that doesn't pay it's debts.

Japan has given loans to African countries in terms of Billions of Dollar, the same as US, how comes a country with such amount of debts but still gives loans and grants to other countries around the world?. Tumia akili wewe Kunyaman
 
Japan has given loans to African countries in terms of Billions of Dollar, the same as US, how comes a country with such amount of debts but still gives loans and grants to other countries around the world?. Tumia akili wewe Kunyaman
Don't forget with all our debts we gave you grants. Anyway, this year we are going to use $9b for payment of debts and I think you should learn from us and stop embarrassing EAC by not being able to pay your debts.

 
Don't forget we also pay other existing debts. We are not Tanzania that doesn't pay it's debts.


Hakuna namna deni lenu linaweza kushuka kipindi hiki! Rate yenu ya kukopa ipo juu na mambo ya curfew bado mnayaendekeza.
I suppose your debt increases exponentially!
 
Eh tanzania used around 7trillion hadi april this year kulipa debts ....thts around 3.3 bil usd...

Next budget year its planned to use 10tril..like 4.6bil usd to pay debts
But kulipa deni ya $14m imewashinda. Huoni hiyo ni aibu?😂😂
 
Hakuna namna deni lenu linaweza kushuka kipindi hiki! Rate yenu ya kukopa ipo juu na mambo ya curfew bado mnayaendekeza.
I suppose your debt increases exponentially!
Who are you to dispute our financial minister? Remember not all the money we received we all loans, others were grants and donations. And we also pay our debts monthly.
 
Back
Top Bottom