Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 7,535
- 12,270
nahifadhi hizi comment zenu bidhaa zitakapo pand bei msiseme uchumi umeshuka hahahah
Bei za mazao kushuka bei ndiyo kuimarika kwa uchumi?
Kwa hiyo mwaka Jana bei ya mbaazi ilipoporomoka kutoka 3000/- hadi 300/- kwa kilo uchumi uliimarika?
Sasa kwa nini serikali ilihaha hadi kutuma ujumbe India kuwabembeleza wanunue?
Akili Ni nywele.