Uchumi ukiimarika, migogoro katika ndoa huibuka

Uchumi ukiimarika, migogoro katika ndoa huibuka

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,883
Reaction score
36,362
Sijui hili pepo Huwa linatoka wapi?

Mnaweza kuwa mpo vizuri mkiwa masikini ila mkianza kufanikiwa ndo mwanamke atajibadilisha na kutamani kupeana talaka

Watu hufikia hatua ya kusema Bora tungebaki masikini tu

Yaani uwezo ukiwa vizuri, mkipata ka gari, biashara nzuri, watoto wakasoma shule nzuri, Maisha yakapendeza na hapo pepo la talaka na mitafaruku huibuka
 
Sijui hili pepo Huwa linatoka wapi?

Mnaweza kuwa mpo vizuri mkiwa masikini ila mkianza kufanikiwa ndo mwanamke atajibadilisha na kutamani kupeana talaka

Watu hufikia hatua ya kusema Bora tungebaki masikini tu

Yaani uwekazani ukiwa vizuri, watoto wakasoma shule nzuri, Maisha yakapendeza na hapo pepo la talaka na mitafaruku huibuka
Roho Za Kibuli hizo humuingia mwanamke ...

nazikemea Kila Siku oooh rabashaka roko ziko nahi roboroooooorooo Toka
 
Sijui hili pepo Huwa linatoka wapi?

Mnaweza kuwa mpo vizuri mkiwa masikini ila mkianza kufanikiwa ndo mwanamke atajibadilisha na kutamani kupeana talaka

Watu hufikia hatua ya kusema Bora tungebaki masikini tu

Yaani uwekazani ukiwa vizuri, watoto wakasoma shule nzuri, Maisha yakapendeza na hapo pepo la talaka na mitafaruku huibuka
Inategemea amefanikiwa nani kati yenu .
 
Siyo wanawake tu hata wanaume hugeuka na kuwa vichaa.

Angalia mafao kwa wastaafu yanavyovuruga si ndoa tu bali hata mahusiano ya mzazi na watoto wake.

Nimeshuhudia familia zilizokuwa vizuri tu zikisambaratika baada ya kulipwa fidia kupisha ujenzi wa hii SGR.
 
Siyo wanawake tu hata wanaume hugeuka na kuwa vichaa.

Angalia mafao kwa wastaafu yanavyovuruga si ndoa tu bali hata mahusiano ya mzazi na watoto wake.

Nimeshuhudia familia zilizokuwa vizuri tu zikisambaratika baada ya kulipwa fidia kupisha ujenzi wa hii SGR.
Kweli pesa mwanaharamu
 
Sijui hili pepo Huwa linatoka wapi?

Mnaweza kuwa mpo vizuri mkiwa masikini ila mkianza kufanikiwa ndo mwanamke atajibadilisha na kutamani kupeana talaka

Watu hufikia hatua ya kusema Bora tungebaki masikini tu

Yaani uwezo ukiwa vizuri, mkipata ka gari, biashara nzuri, watoto wakasoma shule nzuri, Maisha yakapendeza na hapo pepo la talaka na mitafaruku huibuka
Duuuh
 
Sijui hili pepo Huwa linatoka wapi?

Mnaweza kuwa mpo vizuri mkiwa masikini ila mkianza kufanikiwa ndo mwanamke atajibadilisha na kutamani kupeana talaka

Watu hufikia hatua ya kusema Bora tungebaki masikini tu

Yaani uwezo ukiwa vizuri, mkipata ka gari, biashara nzuri, watoto wakasoma shule nzuri, Maisha yakapendeza na hapo pepo la talaka na mitafaruku huibuka
Ukiona mwanamke au mwanaume anasema BORA MNGEBAKI MASKINI😎. Huyo ni maskini kichwani kwake na ndie anaeleta kutoelewana nyumbani kwenu.

Nini cha kufanya.

Kabla haujachelewa akakurudisha kwenye umaskini wake, ACHANA NAE.
 
Back
Top Bottom