Uchumba wa muda mrefu umenichosha

Amesema kila kitu kitapatikana ndani ya ndoa.
Na ndoa ni mpaka ajipange
Mtazamo wangu
Yaani wewe kwa unavyoongea hapa huta olewa, kwakuwa jamaa ameshaona wewe ulienda kwake kwa shida na sasa anaishi na wewe mwaka wa kumi na moja na wewe na familia yako wote anaona kama mna mtegemea mpaka kuwa somesha ndugu zako. Sasa ana haja gani kukuoa, kuongeza gharama ya harusi na sherehe wakati kesha kuoa bure?

Ushauri
Mwambie kuna mjomba wako mkorofi kaja kasema uondoke unafanya uzinzi anataka uolewe.. then rudi kwenu... subiria ndoa.
Kama anakupenda atakuoa, mwambie huhitaji sherehe, mfunge tu ndoa.
 
Unasomea PhD🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wanawake wengi wanachanganya kati ya ndoa na harusi,nadhani kama ni ndoa ni simple tu gharama yake haizi 200,000/= ila kama una ndoto za harusi endelea kuvumilia Hadi uzeeke. Wanawake hupenda harusi as a matter of show off,hili linawagharimu sana na kupelekea kukosa wanaume sahihi . think big
 
Kanifungulia duka kubwa la jumla.
Na yeye ni mwalimu wa sekondari.
Sio kama mimi ni tegemezi, hapana.
Ninajimudu mahitaji yangu.
Na huoni kama nikimbebea mimba ndio nitakuwa nimejifukuzisha?
Hapo tayari huyo ndio mumeo labda wewe uzingue... Samahani kwa ushauri mbaya niliotoa kwenye comment za mwanzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…