Kama msosi nakupa unadhani nakunyimaa! !!
Umeoteshwa na TB Joshua au Lusekelo?
nenda mwenyewe sasa siji naenda mchepuko
Ubaki njia kuu we lori? ?akuwaache
Kwa heri wape hi!
Hahhgahhhha
Nishaacha ila kwenye chakula tu sio mchoyo vingine bado ni mchoyo
Pia wasomalii
"MSINYIMANE MLIPEWA BURE TOENI BURE" uchoyo sio dili.
we utanipa?