BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
afadhali imesaidia kuacha uchoyo....
Hapa no michepuko nishabaki njia kuu .upo miss
njia kuu ya kuelekea wapi?
Lodge inamaana haujui ?
Hahhhahhha aiseee basi naomba po!!!
tugeuze nataka ya kuelekea hotel
Unastajaabu ya Phlagiey? utayaona ya miss chagga
Baba tenaa!!!!!!!
hahaha! Hongera,ila uchoyo wowote siyo mzur isipokuwa wa naniliu tu....! Ila ukishaoa/kuolewa kumnyima mwenzio siyo vizuri.
Makubwaaaa tenaa