Uchoyo mbaya jamani

Uchoyo mbaya jamani

Ila wanasema et uchoyo ni tabia ya mtu,yan kama ni mtoto ngoma hadi ukubwan inapepea....
 
Natamani kulijua hilo kabila, ndio nimejua leo wazee kutengana vitanda duh kumbe Tz kubwa
 
Ila wanasema et uchoyo ni tabia ya mtu,yan kama ni mtoto ngoma hadi ukubwan inapepea....

Hapana si kikweli kama ni tabia basi mpaka leo wote tungekua tunajikojolea na kujinyeaa maana utoton ndii hiyo tabiaa na kulialiaa
 
Back
Top Bottom