Uchoyo mbaya jamani

Uchoyo mbaya jamani

Kusema ule ukweli utoto ni ubinafsi!mara nyingi huona ubinafsi kwa asilimia kubwa ya watoto japo sina hakika kama tabia hizi huja kuendelea baadae!stori nzuri sana
 
Muke ya musukuma, pole na hongera. ila usisahau kuwafundisha wanao waache uchoyo, mara nyingi hizi vitu ni inborn ucje ukwawa uliwarithisha chembe chembe ndogo za uhai zenye tabia ya uchoyo!!!
 
Muke ya musukuma, pole na hongera. ila usisahau kuwafundisha wanao waache uchoyo, mara nyingi hizi vitu ni inborn ucje ukwawa uliwarithisha chembe chembe ndogo za uhai zenye tabia ya uchoyo!!!

Hahhhhahhha hapana nadhan ni utoto toka nikue mi na uchoyo mbali mbaliiii
 
Hahahaaa kweli lazima upate mchumba mwaloni au kamanga ki2 sato c mchezo

Katoto kako umekazoesha vibayaa jamani sigara all the time duu
Leo hujaenda kazini au kazi unafanyia humu JF!!!!!!
 
Hilo n pozi tu hakavuti sigara leo nko msibani kuna best kafiwa, nimemis samaki wa kuchukuchu hpo mitaa ya salma cone
 
Hilo n pozi tu hakavuti sigara leo nko msibani kuna best kafiwa, nimemis samaki wa kuchukuchu hpo mitaa ya salma cone

Aaaaa weweee ukitaka samaki nenda kirumba resot,victoria,Villa park balaa hizoo sehemu kwa samakii
 
Samaki ni nyoka bahati mbaya sie hatutumii hiyo kitu!
Mbona samaki wapo poa tu, wanafanana na nyoka tu na si nyoka yaani kama Kima anavyofanana na Tumbiri, jaribu huyu samaki kwenye picha chini uone alivyo mtamu (unamjua anaitwaje huyu? hii ni KAMONGO)

Pegere.JPG
 
utam wa samaki uko kati! kama vilivyo viumbe vingine..!

mengineyo ngonjera tu..
 
Asili na mila zetu haziruhusu kutumia hii kitu mkuu,,, so hata awe mtamu vp siwezi kujaribu!!
Kumbe wewe ni wa pande za kule za Oldosambu, Meserani mpaka ile wilaya iliyotoa mawaziri wakuu wawili, napenda sana jinsi mnavyojali mila zenu kama na wewe ni wa huko maana ndio najua kabila ambalo halitumii hii kitu unless kama kuna lingine (
 
Kumbe wewe ni wa pande za kule za Oldosambu, Meserani mpaka ile wilaya iliyotoa mawaziri wakuu wawili, napenda sana jinsi mnavyojali mila zenu kama na wewe ni wa huko maana ndio najua kabila ambalo halitumii hii kitu unless kama kuna lingine (

sio wa huko mie.
 
Back
Top Bottom