Mimi nina matatizo yanayonisumbua kwa muda mrefu bila ya kujijua, niliona kua ni hali ya kawaida kama ilivyo kwa binadamu wengine lakini kumbe sivyo.
1. Mimi ninakua na uwoga sana kwa kila kitu.
2. Pia siishi kuwa na mawazo na lolote linalonisibu hua halitoki akilini mara moja.
3. Ninakua mzito na mvivu sana bila ya sababu.
4. Na pia ninakua na hasira za haraka.
Nimejaribu kuwaona madaktari kama wawili wameniambia itakua (anxiety, depression, fatigue na stress) maana yote haya yanafuatana pamoja, na pia walinipa dawa kama Prozac na Risperdal (risperidone) ambazo nilizitumia lakini hazikusaidia kitu.
Sasa pamoja na kuzidi kutafuta ufumbuzi nimeonelea pia niweke hapa pengine naweza pata ushauri au wapo waliokuwa na matatizo kama yangu waweze kunishauri.
1. Mimi ninakua na uwoga sana kwa kila kitu.
2. Pia siishi kuwa na mawazo na lolote linalonisibu hua halitoki akilini mara moja.
3. Ninakua mzito na mvivu sana bila ya sababu.
4. Na pia ninakua na hasira za haraka.
Nimejaribu kuwaona madaktari kama wawili wameniambia itakua (anxiety, depression, fatigue na stress) maana yote haya yanafuatana pamoja, na pia walinipa dawa kama Prozac na Risperdal (risperidone) ambazo nilizitumia lakini hazikusaidia kitu.
Sasa pamoja na kuzidi kutafuta ufumbuzi nimeonelea pia niweke hapa pengine naweza pata ushauri au wapo waliokuwa na matatizo kama yangu waweze kunishauri.