Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,128
- 12,704
Hahaha unaweweseka, pamoja na kwamba Rais Samia ni Mwenyekiti wangu ila kuna vitu anakosea sana. Sada kama wewe unasema wenzako hawajui hebu sema sasa inakuwaje kwenye nchi hiyo hiyo rais tena mwenye vyombo vyote vya ulinzi na usalama, mwenye mamlaka ya kikatiba kukatiza uhai wa kiumbe yeyote na hana kesi anasema “tulikosea sana kuchoma vifaranga” ili kuwafurahisha majirani zetu mabeberu na leo hii nchi kwake wananchi wake anaowamiliki wamechoma vifaranga tena mchana kweupe?Kalagabao. Jpm hasafishiki hata kwa lake. Swala ni kuharibu diplomasia ya kiuchumi baina ya Tanzania na Kenya. Ukiharibu uchumi unashuka tremendously Kama iliyokuwa kipindi Cha shetani. Unajisumbu we sukuma gangus
Je ajichukuliaje Rais Samia? Hii ni moja ya jambo la aibu sana kwake ajue kabisa baadhi ya maamuzi yake ni ya ovyo kabisa kama alivyosema JK kuwa iwapo kama mambo yakiwa mabaya CCM haitasita kumuengua kugombea 2025 na hii ya kuku ni dalili moja wapo ya kuwa hafai 2025 maana kuna vitu anakurupuka kwa kudanganywa na wasaidizi wake wasiomtakia mema