tejateja
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 1,626
- 979
Hutaniwi???Moja ya uchocheze kuwahi kutokea ktk taifa letu ni huu maana ni ktk viashilia vya uvunjifu wa amani
Hutaniwi???Moja ya uchocheze kuwahi kutokea ktk taifa letu ni huu maana ni ktk viashilia vya uvunjifu wa amani
Shani yetu watanzania haikuja tu hivi hivi kama bahati. Nijitihada za makusudi kabisa zilizofanywa na wazazi wetu. Uvumilivu na upendo miongoni mwao.Kweli kk mi nna mdg wng wa hiari ni mkatoliki jina lke halisi Paul ila kwa kua cc sote ple nymbn tuna majina ya kiislam angebaki na lile jina watu wangefaham km c mmoja wetu na wangemchukulia mtu baki tu so nkampa jina la Feysal hadi leo ni Feysal Feysal Feysal na anavyopenda kutamka assalam alaykum mara inshaallah huwezi kumtambua ila mi najua km j2 huwa anaenda kanisani!
Sikiliza Masanja sikilizeni nyote,I really dislike (let me be polite) mtu anaye-assume kila mwenye jina la ki-islam ni muislam. or V/V. What makes you think Mahmoud ni muislam? unajua kuna watu wamelelewa na waislamu kwa sababu ya uyatima au Changamoto nyinginezo za maisha..wakaamua ku-assume the so called majina ya ki-slamu yet they got nothing to do with that faith? same kwa waKristo? Agustino Ramadhani (former bishop of Zanzibar rings?)..wako wengi sana....tuu
Utaitendea haki nafsi yako na wengine kama utaelimika ujue kwamba dini na majina ya watu havina uhusiano. Ni mapokeo tuu. Katika familia yangu...... Mzee ni Msabato mzuri tuu. Mimi ni RC-(tena mseminary), dada anayenifuata ni Muislamu wa swala tano.......nk. Yet upendo upo wa kutosha tuu. Watu kama nyinyi ndo mnatuletea matatizo na mifarakano kwenye familia na jamii zetu kwa sababu ya assumptions zisizo na mashiko.
Masanja
Yesu bar Sio tatizoSikiliza Masanja sikilizeni nyote,
swala sio jina ndio dini hapana isipokua mwandishi wa hilo jina ktk hiyo bucha hakuchukua tahadhari kwa kuchunga kuwekewa dhana mbaya maana watu wenye akiri iliyosalimia huchukua tahadhari ktk kuyaendea mambo.
Mfano yesu ni jina kama majina mengine yalivyo lakini akitokea mtu akaamua kuandika ktk bar yake
YESU BAR au YESU GEST H.
sisi lazima tutamnasihii afute hilo jina na atafute jina lingine atumie ili kuchunga kuwekewa dhana mbaya
Nataniwa sana lakini kuna mazingila mengine ya utani yanaweza kuzaa vurugu hivyo ni vema kuchukua tahadhari wakati wa kutania ili tuendelee kushangilia marunda ya uhuru sote kwa pamojaHutaniwi???
Duh kweri mkuu yaweza kuwa sio tatizo kwako lakini ikawa kwangu itakuwa nimekwazika sanaYesu bar Sio tatizo
Lisemwalo lipo mkuu...Nataniwa sana lakini kuna mazingila mengine ya utani yanaweza kuzaa vurugu hivyo ni vema kuchukua tahadhari wakati wa kutania ili tuendelee kushangilia marunda ya uhuru sote kwa pamoja
Makwazo lazima yawepo mkuu. Giza na narudi lazima viwepo ili maisha yasonge.Duh kweri mkuu yaweza kuwa sio tatizo kwako lakini ikawa kwangu itakuwa nimekwazika sana
Ni kweri kabisa mkuu kiti moto huliwa na baadhi ya waislamu kama kisivyoliwa na baadhi ya waumini wakirsto lakini pamoja na hali hiyo hatuna budi kuchunga imani za wenziwetu wenye mtizamo tofauti nasiLisemwalo lipo mkuu...
Ni Ukweli usiopingika kuwa baadhi ya waumini WA dini ya waislam hula kitimoto.
Kumbuka kuwa muumini WA dini /imani haitumii akili.Ni kweri kabisa mkuu kiti moto huliwa na baadhi ya waislamu kama kisivyoliwa na baadhi ya waumini wakirsto lakini pamoja na hali hiyo hatuna budi kuchunga imani za wenziwetu wenye mtizamo tofauti nasi
NYINGINE HII