Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #8,961
Mzee Mwanakijiji na Mzee Mohamed Said, poleni sana na mjadala huu, nawaomba sana wazee wangu nyinyi punguzeni jazba, nyinyi ni alama ya sauti kuu ya mnakasha huu, masihara ni mazuri kwenye mjadala kama huu lakini yasiende mbali.
Turejee kwenye meza yetu ya mnakasha.
Turejee kwenye meza yetu ya mnakasha.