The Inspire55
Member
- Oct 14, 2020
- 12
- 22
Uchenjuaji wa madini hulenga kutenganisha madini kapi(gangue) kutoka kwenye mbare(Ore). Lengo la uchenjuaji ni kutenganisha madini katika mazao mawili madini yenye thamani(Consetrate) na madini taka(Gangue Mineral) yawe kwenye taka(Tailings). Ili uchenjuaji ufanyike Hatua mbili zinatakiwa kufatwa.
1. Upondaji na usagaji ili kupunguza ukubwa wa chembe ili madini ya thamani yawe huru.
2. Utenganishaji kati ya madini ya thamani na yasiyo na thamani kwa kutumia njia pendekezwa kwa kila aina ya madini.
Elimu kuhusiana na unachopenda kuwekeza ndo msingi wa mafanikio ya hela uliowekeza. Huanza elimu kisha pesa ufata ili kilicho baki kichwani baada ya kufundishwa ukifanyie kazi kwa kutumia pesa ulizo nazo.
#0717180968
#0753021057_Whatsapp
1. Upondaji na usagaji ili kupunguza ukubwa wa chembe ili madini ya thamani yawe huru.
2. Utenganishaji kati ya madini ya thamani na yasiyo na thamani kwa kutumia njia pendekezwa kwa kila aina ya madini.
Elimu kuhusiana na unachopenda kuwekeza ndo msingi wa mafanikio ya hela uliowekeza. Huanza elimu kisha pesa ufata ili kilicho baki kichwani baada ya kufundishwa ukifanyie kazi kwa kutumia pesa ulizo nazo.
#0717180968
#0753021057_Whatsapp