Uchawi upo, usidanganywe

Kwa hiyo alikuwa amerogwa, na yeye ni wa huko huko upareni?
 
Mkuu nilichogundua hapo in kuwa una miaka 30 hayo mengine niyakawaida tuu
Baada ya kugundua ilitosha ukakaa kimya, na wajuaje kama ameandika taarifa za kweli. Mambo kama haya usitegemee mtu akaweka ukweli wake wote humu.
 
Ah wapi...huyo jamaa atakuwa aliuwawa na wasaidizi wa huyo Mzee....hakuna kitu kama hicho

Huyo tembo kuna alomshuhudia kwa macho?
 
Japo umeandika bila vituo wala nukta ila sijaelewa point yako. Mchawi/mganga wa Nigeria anamzidi vipi mganga/mchawi wa Tanzania kama hakuna uchawi... Umetoa namba tubadilishane uzoefu wa kitu ambacho hakipo?
Dunia ni pana sitaki uniamini mimi lakini ukiweza tunaweza badilishana uzofu bila shaka mimi nitajifunza kwako na we2 utajifunza kwangu.elimu haina mwisho ndio maana dunia haikuwahi kusimamama
 
Haujaweza kueleza ni vp hakuna uchawi bali umeonesha tu kuwa tukio linalohusishwa kuwa ni uchawi linaweza lisiwe tukio la uchawi na kulitafsiri tofauti.

Tatizo hamuelezi ni vp hakuna uchawi,na kibaya hata yale matukio ambayo mmeshindwa kuyaelezea pia mnapinga si uchawi na kung'ang'ana kusema kwamba kutakuwa maelezo yake ila hamyajui.
 
Sio kazi yangu kueleza hakuna kitu fulani wakati hakipo, wewe unayeamini kipo ndo inabidi uthibitishe pasi na shaka kwamba kipo.

Nikisema hakuna bahari Moro sihitaji kueleza zaidi ila Kama unaamini Moro kuna bahari basi wewe ndo inabidi uthibitishe.

Tumeomba humu mara kadhaa mturoge tuamini huo uchawi mnashindwa, mnakuja na sababu kibao za kukwepa.

Story za uchawi zinaaminiwa na wavivu wa kufikiri.
 
Wewe ndio mvivu wa kufikiri na ndiyo maana unasema sio kazi yako kutoa maelezo,ungekuwa unaweza kuelezea usingesema hivi.

Kiujumla wewe unadai hakuna uchawi kabisa bila hata kueleza ni kwa vp,halafu hapo hapo yanatokea matukio yenye kuhusishwa na uchawi wewe unapinga kuwa sio uchawi hata kama hauwezi kutolea maelezo ya hayo matukio kwa kuonesha kuwa sio uchawi.

Kwa hali hiyo hata hivyo unavyosema urogwe ili ndio ujiridhishe kuwa uchawi upo,hata mtu akikuroga ndiyo kipi kitakufanya ujue kuwa ni athari za uchawi ama sio uchawi?
Mfano mie niseme nataka kumroga mwanao awe chizi,mara baada ya siku chache mwanao akapata malaria ikampanda kichwani na kuwa chizi.

Utawezaje kujua ni athari ya uchawi ndiyo chanzo cha yote hayo?
 
Mbona sasa unachanganya ndugu usha sema mwanangu alipatwa na mararia yakapanda kichwani lakini mungu si asumani tukajitahidi kumpeleka hospitali madaktari akapona.ooooo kumbe ilikia mararia kwa hiyo we2 ulilogelezea kwenye mararia uwiiiiiiiiiiiiiii
 
Hapa hatugombani hapa tunaelimishana na pia tunapeana uzoefu.uchawi hata we2 huujui niamini mi2 na pengine kwa bahati mbaya unaamini unajua kitu ambacho hujui,angalia nguvu hii unayo ita we2 uchawi inavyo fanya kazi.uchawi hauna ushahidi uchawi hauonekani uchawi haushikiki uchawi ni vitu vya kufikirika zaidi au kuhisi kama unavyo hisi.watu wote wanao dhulika na nguvu hii ni watu masikini zaidi kuliko wenye uwezo uwezo ninao zungumuzia hapa si fedha tu bali uwezo wa kufiri uwezo kupambanua mambo uwezo angalau hata kudadisi vitu vidogovidogo,lakini pia we ni shahidi wangu ni watu wa aina gani?hudhurika na huo unao ita uchawi?kama hujui fanya hivi fanya uchunguzi nitu wenye uwezo mdogo wa kufikiri ni watu masikini hata kipato ni wavivu hata kwa kufanya kazi.mtu yeyote anae tafta pesa kweli kweke huo ni upuuzi tu tafti zangu zinaonyesha watu wengi wanao dhulika na nguvu hiyo ni watu wenye roho mbaya ni watu walawama kwenye jamii zetu.kinacho wadhuru si uchawi bali ni nguvu waliyo jipandikizia wenyewe kwenye imani zao.ndio maana sisi tusio amini hilo huishi huru na tuko huru na wengi tutawatoa huko
 
Niulize cho2te nitakujibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…