ngulukizi
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 637
- 1,779
NIkiwa katika mihangaiko yangu kipindi flani niliamua kuwekeza katika kilimo cha mpunga hapo maeneo ya Mlandizi ila Sasa niliyokuja kuyaona niliamini hakuna Mungu kwenye kulima mana wakati wa kupanda kila Mkulima alikuja na njia zake za kufanikisha kupanda.
Jilani yangu yeye alikuja na vijana wake wakalizunguka Shamba huku wapo uchi na kichwani walikuwa wamebeba chungu kilichojaa majimaji.
Kuangalia upande mwingine wa Shamba naona mtu anaandikiza hilizi kiukweli niliamini kuliacha lile Shamba mana ni mashamba ya kukodi na niliamua kuondoka kabisa baada ya kuulizia habari za eneo lile kipindi cha kilimo inakuwaje nikapewa mkanda mzima
Jilani yangu yeye alikuja na vijana wake wakalizunguka Shamba huku wapo uchi na kichwani walikuwa wamebeba chungu kilichojaa majimaji.
Kuangalia upande mwingine wa Shamba naona mtu anaandikiza hilizi kiukweli niliamini kuliacha lile Shamba mana ni mashamba ya kukodi na niliamua kuondoka kabisa baada ya kuulizia habari za eneo lile kipindi cha kilimo inakuwaje nikapewa mkanda mzima