gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
- Thread starter
- #21
wanawake ni wazuri kwa ku keep na ku save
ukipata ambae sie 'shangingi la mjini la kurushana roho na wenzie'...
ndo maana wanaume wengi hufanikiwa after marriage..
umesema vizuri sana ila kuna wale wababa ambao wanaonaga kama vile mama mchapa kazi kama ni mshamba wewe unaiona vipi hii