Changudoa. yeye yupo kipesa tu nahuyu ni mzululaji yani mwindaji .Anatabia ya kufuata na kushawishi
Malaya. huyu ni mutu ambaye anapenda sana ngono iwe kipesa au starehe .Anatabia ya kumu ganda mutu kutokana na sifazake. Hu ambukiza sana watu magonjwa sugu. Hawana bei sana
Kahaba.huyu huwa ana lengo anapofanyakitu .Wengi hupitia wakati mgumu .wana ambukiza magonjwa pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.