maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,169
- 1,533
Wanajamii,
Leo nimeona nitoe kero ambayo nimekuwa nikikutana nayo maeneo mengi hata ya serikali. Wanachanganya sabuni ya kunawia na maji.
Nafikiri lengo la wachanganyaji ni ili isiishe mapema bila kujua inaweza isiwe inakamilisha lengo.
Hivi hawa wachakachuaji wanatumia mwongozo Gani? Na kama hawafuati muongozo wowote nani anawaruhusu?
Ifike sehemu mamlaka zetu zikemee jambo hili Ili lisitokee.
Nawasilisha
Leo nimeona nitoe kero ambayo nimekuwa nikikutana nayo maeneo mengi hata ya serikali. Wanachanganya sabuni ya kunawia na maji.
Nafikiri lengo la wachanganyaji ni ili isiishe mapema bila kujua inaweza isiwe inakamilisha lengo.
Hivi hawa wachakachuaji wanatumia mwongozo Gani? Na kama hawafuati muongozo wowote nani anawaruhusu?
Ifike sehemu mamlaka zetu zikemee jambo hili Ili lisitokee.
Nawasilisha