GE2025 Uchambuzi wangu: Yatokanayo na maandamano ya Oktoba 29, 2025

GE2025 Uchambuzi wangu: Yatokanayo na maandamano ya Oktoba 29, 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,399
Neno la utangulizi ( preamble)
BILA SERIKALI KUWAJIBIKA.. RECONCILIATION haina maana yoyote

.Kuwajibika kwenye uchafuzi wa kura uliowanyima mamilion ya Watanganyika haki yao ya kuchagua na kuchaguliwa

. Kuwajibika kwenye kupika matokeo ya uchufuzi wa kura.. Yenye kutia kinyaa na aibu kubwa

. Kuwajibika kwenye uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu

.Kuwajibika kwa majeruhi waliokuwa wanatumia haki yao ya kikatiba kupaza sauti

.Kuwajibika kwa vifo vingi vilivyoyokana na wananchi waliotumia haki yao ya kikatiba kuandamana

. kuwajibika kwa kuwanyima majeruhi wote nafasi ya kupata matibabu

.Kuwajibika kwa marehemu wote waliokosa staha na heshima kwenye kuhifadhiwa

.Kuwajibika kwa kuwazuia ndugu na jamaa kupata taarifa za wafiwa na majeruhi

. Kuwajibika kwa kuzima mtandao kwa masaa yasiyopungua 80

Mtazamo wangu kwenye maandamano

Maandamano yalikuwa ya kimkakati na yaliyopangiliwa vema
1. Kupaza sauti kupitia kutoa futuko la hasira ya muda mrefu kwenye miundombinu ya mwendokasi... Simulizi za kunyanyasika na huu usafiri kwa muda mrefu wanazo wakazi wa Morogoro road.. Mbagala wameunganishwa humo humo

2. Kupaza sauti kupitia uwekezaji wa wasanii.. Hawa walionekana mas nitch wasaliti waliojivuna na kutoa lugha za kashfa kwa wananchi huku wakikumbatiwa na mamlaka

3. Wawekezaji na wafanyabiashara ambao mali zao zimejaa utata na harufu ya rushwa huku wakiwa bega kwa bega na utawala unaolalamikiwa sana

4. Viongozi wa kisiasa wa chama na serikali waliothibitisha kwa kauli na matendo kwamba wamedharau vilio cya wananchi kwa muda mrefu

5. Majengo ya serikali hasa TRA NA POLISI na MAHAKAMA. haya habari zake si ngeni kwenye unyanyasaji wa wananchi, kubambikiwa kodi, kesi na kuwanyima watu haki zao

Waandamaji wanaotajwa kutoka nje ya nchi hawakuwa wengine bali watanganyika wa
Dini zote

Imani zote

Vyama vyote

Makabila yote
Jinsia zote nknk

Tukumbuke hata wana ccm kwa wingi wao walishiriki haha maandamano kutokana na kutoridhishwa na yote yaliyotokea kwenye chama chao

Vyombo vyote vya ulinzi na usalama walau kwa kificho walikuwa sehemu ya maandamano huku wakiwatia wananchi hamasa moto na kuwapa mbinu mbalimbali za kuandamana!
Naendelea sehemu ya pili
 
Kuna kitu nimegundua haya mauwaji ukifatilia wanzanzibari waishio hapa nikama wafurahiji wazuri na wametimiza ndoto zao maana nilijaribu kuwachunguza sehemu za mikoa niliyopo ndio waliokwenda kupiga kura na ukitaka kujua kuwa wanafurahi haya swala haya yaliyotokea unaona kama lugha zinafanana na maonegzi ya samia.
 
Sehemu ya pili
Serikali imepanga kufanya maridhiano. Lakini je imeshafanya tathmini ya kutosha juu ya hayo yalitokea?
Je inataka kufanya maridhiano na nani?
Na wana ccm?
Na CHADEMA?
Na wote waliopoteza ndugu zao kwenye utekaji au maandamano?
Na WATANGANYIKA? as special case?
Na waumini wa dini mbalimbali
Na vyombo vya usalama vyote?..
Yote hayo ni makundi lakini yenye msingi mmoja mkuu wa mwananchi Mtanganyika!

Mafunzo ya kuzingatia
1. Kwa wasanii simameni na wananchi katika nyakati ngumu.. Pesa za wanasiasa sio baba lakini sio nyingi kama za wananchi wanaowafanya muonekane kwa wanasiasa
2. Wanasiasa wa ccm. Msijione kwakuwa mmehodhi maradaka kwa nguvu basi mnaweza kuhodhi ngumu ya uma na hisia wa wananchi
3 . Kwa wafanyabiashara hakuna anayewapangia utashi wa kisiasa lakini mambo mengine fanyeni kwa siri kubwa kwakuwa wateja wetu ni wa vyama vyote

Tamati yangu!
Wasomi waliosimamia mchakato wa uchaguzi wametutia aibu kubwa kama taifa.. Sana wanastahili kuwajibika maramoja kabla ya maridhiano yoyote yale!
Wametanguliza maslahi binafsi na ya wachache kwa muono wa kisiasa na kipindi kifupi cha miaka mitano badala ya picha kubwa ya Tanganyika
Wafaidikaji wa mwisho waliokaa kimya lakini wanaochekelea! Wakandarasi watakaopata kandarasi za kukarabati miundo mbinu yote iliyoharibiwa.. Wanasema kufa kufaana. Ni msimu mwingine wa mavuno

Wenye maumivu makubwa
Kampuni za bima ambazo zitapaswa kuwalipa wote waliokuwa na bima kubwa zinazojumuisha majanga ya moto na ya kibinadamu

Wengine ni wafiwa wote waliopoteza ndugu zao ambao walikuwa tegemewa
Huu ni mwanzo mpya wa yatima na wajane! Ndoto nyingi zilizozimwa na wanasiasa waroho wa madaraka.. Baada ya muda kuna simulizi nyingi za kuumiza sana zitasimuliwa
Je mpaka hapo unaamini katika maridhiano?
 
Kuna kitu nimegundua haya mauwaji ukifatilia wanzanzibari waishio hapa nikama wafurahiji wazuri na wametimiza ndoto zao maana nilijaribu kuwachunguza sehemu za mikoa niliyopo ndio waliokwenda kupiga kura na ukitaka kujua kuwa wanafurahi haya swala haya yaliyotokea unaona kama lugha zinafanana na maonegzi ya samia.
Kuna chuki kubwa sana hapo inajengwa mioyoni mwa Watanganyika.. Na chuki Ina hulka ya kumea na kukomaa ama kutunga mimba na kuzaa
 
Mimi nakusanya taarifa nimeona wanzanzibar waishio tanganyiko wanarudisha zile chuki zao kuanzia kufukuzwa utawala wa waoman na warabu kwao na kwa sasa kinachoendelea znz itaitawala tanganyika kwa nguvu yoyote ndio walivyopanga.
TikTok - Make Your Day This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
 
Sehemu ya pili
Serikali imepanga kufanya maridhiano. Lakini je imeshafanya tathmini ya kutosha juu ya hayo yalitokea?
Je inataka kufanya maridhiano na nani?
Na wana ccm?
Na CHADEMA?
Na wote waliopoteza ndugu zao kwenye utekaji au maandamano?
Na WATANGANYIKA? as special case?
Na waumini wa dini mbalimbali
Na vyombo vya usalama vyote?..
Yote hayo ni makundi lakini yenye msingi mmoja mkuu wa mwananchi Mtanganyika!

Mafunzo ya kuzingatia
1. Kwa wasanii simameni na wananchi katika nyakati ngumu.. Pesa za wanasiasa sio baba lakini sio nyingi kama za wananchi wanaowafanya muonekane kwa wanasiasa
2. Wanasiasa wa ccm. Msijione kwakuwa mmehodhi maradaka kwa nguvu basi mnaweza kuhodhi ngumu ya uma na hisia wa wananchi
3 . Kwa wafanyabiashara hakuna anayewapangia utashi wa kisiasa lakini mambo mengine fanyeni kwa siri kubwa kwakuwa wateja wetu ni wa vyama vyote

Tamati yangu!
Wasomi waliosimamia mchakato wa uchaguzi wametutia aibu kubwa kama taifa.. Sana wanastahili kuwajibika maramoja kabla ya maridhiano yoyote yale!
Wametanguliza maslahi binafsi na ya wachache kwa muono wa kisiasa na kipindi kifupi cha miaka mitano badala ya picha kubwa ya Tanganyika
Wafaidikaji wa mwisho waliokaa kimya lakini wanaochekelea! Wakandarasi watakaopata kandarasi za kukarabati miundo mbinu yote iliyoharibiwa.. Wanasema kufa kufaana. Ni msimu mwingine wa mavuno

Wenye maumivu makubwa
Kampuni za bima ambazo zitapaswa kuwalipa wote waliokuwa na bima kubwa zinazojumuisha majanga ya moto na ya kibinadamu

Wengine ni wafiwa wote waliopoteza ndugu zao ambao walikuwa tegemewa
Huu ni mwanzo mpya wa yatima na wajane! Ndoto nyingi zilizozimwa na wanasiasa waroho wa madaraka.. Baada ya muda kuna simulizi nyingi za kuumiza sana zitasimuliwa
Je mpaka hapo unaamini katika maridhiano?
Huyu mwanamke ni muovu kupindukia. Ati mtu anafanya dhuluma makusudi kwa kutegemea kufanya maridhiano ndani ya siku 100 za kwanza. Ni ushetani wa hali ya juu sana!
 
Mmeshindwa kwenye hili, na Mungu atawashindishwa kwenye maovu yenu mengine pia mnayoyapanga. Damu iliyopotea itawarudia na nyie na kuwaadhibu vikali sana. Mmewachochea vijana wa watu na Sasa, kama kawaida, mnakuja humu na viuchambuzi vyenu uchwara. Naona na Sasa mnakuja kwa Kasi kwenye kupandikiza chuki za kizanzibar na kitanganyika.....Mungu awaangamizie mbali kwa
 
Mmeshindwa kwenye hili, na Mungu atawashindishwa kwenye maovu yenu mengine pia mnayoyapanga. Damu iliyopotea itawarudia na nyie na kuwaadhibu vikali sana. Mmewachochea vijana wa watu na Sasa, kama kawaida, mnakuja humu na viuchambuzi vyenu uchwara. Naona na Sasa mnakuja kwa Kasi kwenye kupandikiza chuki za kizanzibar na kitanganyika.....Mungu awaangamizie mbali kwa
Sehemu yoyote isiyo na haki usitegemee amani iwepo, hii nchi ilivyo sasa ndo matokeo ya walichokipanda, na bado kuna mengi tutayashuhudia, ogopa sana raia wakiwa hawana imani tena na Serikali yao, ni hatari
 
Sehemu yoyote isiyo na haki usitegemee amani iwepo, hii nchi ilivyo sasa ndo matokeo ya walichokipanda, na bado kuna mengi tutayashuhudia, ogopa sana raia wakiwa hawana imani tena na Serikali yao, ni hatari
Unaweza kuziainisha kinagaubaga haki hizo zilizopotezwa?!!
 
Back
Top Bottom