wavoko
Member
- Oct 20, 2015
- 93
- 37
Uliyeleta ujumbe huna Facts maana unaelewa mawazo yako bila facts au evidences zozote. Ni nani aliyemwambia ajiuzulu chana ? na aliona nini wakati anajiuzulu? Na je kaona nini au nini kimebadilika cha kumfanya arudi tena? Kwa hvyo kwa akili ya mtoto mdogo tu aliyefanya mtihani wa dalasa ya saba hv karibuni .ukimweleza atakuambia hv "huyo anakuja ila hana nia nzuri na ujio wake"
Sasa kama mtoto wa dalasa la saba atasema hvyo vipi aliye pal za form four na vipi mtu mzima atasemaje ?
Hapana sio hvyo tu na vipi wasomi wenye Uweleza zaidi na maalifa.
Hyo ni movie ili ujue movie imetengezwa vipi
Please look behind the scene of lipumba to Come against his quitting from the party.
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Sasa kama mtoto wa dalasa la saba atasema hvyo vipi aliye pal za form four na vipi mtu mzima atasemaje ?
Hapana sio hvyo tu na vipi wasomi wenye Uweleza zaidi na maalifa.
Hyo ni movie ili ujue movie imetengezwa vipi
Please look behind the scene of lipumba to Come against his quitting from the party.
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app