ukiangalia takwimu za uchaguzi mwaka 2005 na mwaka 2010 utaona kuwa ccm walikuwa wakipata upinzani hafifu na kama unaweza kuuita upinzani kabisa kwani mgombea wa ccm mwaka 2005 alikuwa Stephen Galinoma alipata kura 32000.
kihurahisi kabisa na mwaka 2010 william mgimwa alipata 31000 kwahiyo unaweza kuona nguvu ya ccm katika chaguzi hizi mbili. mgombea wa chadema mwaka 2010 bi rehema makonga alipata kura 3300 kuliganisha na mwenzake wa mwaka 2005 Bw.silvester mwitara aliyepata kura 912 kwahiyo unaweza kuona kuwa chadema ilikuwa ni kama haina chake katika kipindi chote hiki. chadema ilikuwa ikipata less than 10% ya kura za ccm ktk vipindi vyote hivi.
lakini kuna kitu kimejificha katika chaguzi zote hizi kwani kuna mtu mmoja mwaka 2005 akigombea kwa chama dhaifu cha jahazi asilia anaitwa Grace Tendega alipata kura za ajabu sana kwani aliweza kujizolea kura 13,500 huku anayemfuata nyuma akiwa na kura 900.
Kwahiyo unaweza kuona kwamba ccm ina kila sababu za kumuofia huyu mama kuliko hata chadema yenyewe kwani ni tishio na hasa ukizingatia mwaka 2005 hakuwa na resources na machinery zozote za kupambana na ccm. fast forward mwaka 2014 anagombea tena huku nyuma yake akiwa na jeshi kubwa la chadema lenye resources za kutosha na uwezo wa kujibu mashambulizi natoa tahadhari kwa ccm kuwa it won't be business as usual kuna haja ya kuchukua tahadhari zote.
Kama kuna mtu anafikiria ccm itaendelea kupata kura inazopata miaka yote nitashukuru kupata uchambuzi wake kwa kutumia namba na si maneno matupu.
kihurahisi kabisa na mwaka 2010 william mgimwa alipata 31000 kwahiyo unaweza kuona nguvu ya ccm katika chaguzi hizi mbili. mgombea wa chadema mwaka 2010 bi rehema makonga alipata kura 3300 kuliganisha na mwenzake wa mwaka 2005 Bw.silvester mwitara aliyepata kura 912 kwahiyo unaweza kuona kuwa chadema ilikuwa ni kama haina chake katika kipindi chote hiki. chadema ilikuwa ikipata less than 10% ya kura za ccm ktk vipindi vyote hivi.
lakini kuna kitu kimejificha katika chaguzi zote hizi kwani kuna mtu mmoja mwaka 2005 akigombea kwa chama dhaifu cha jahazi asilia anaitwa Grace Tendega alipata kura za ajabu sana kwani aliweza kujizolea kura 13,500 huku anayemfuata nyuma akiwa na kura 900.
Kwahiyo unaweza kuona kwamba ccm ina kila sababu za kumuofia huyu mama kuliko hata chadema yenyewe kwani ni tishio na hasa ukizingatia mwaka 2005 hakuwa na resources na machinery zozote za kupambana na ccm. fast forward mwaka 2014 anagombea tena huku nyuma yake akiwa na jeshi kubwa la chadema lenye resources za kutosha na uwezo wa kujibu mashambulizi natoa tahadhari kwa ccm kuwa it won't be business as usual kuna haja ya kuchukua tahadhari zote.
Kama kuna mtu anafikiria ccm itaendelea kupata kura inazopata miaka yote nitashukuru kupata uchambuzi wake kwa kutumia namba na si maneno matupu.