fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,379
- 11,523
Nimegundua lowassa akiongea ata maneno matatu tu nafsi za wa Tanzania wengi zinatulia maana anaongea kama kiongozi haongei kama kasuku huyu anaye karirishwa vitu vingi vya uwongo !Mgombea wa ccm aliongea kama anagombea udiwani,mihemko,haraka,panic...hakujiandaa kwa hiyo nafasi.
Ahadi lukuki alizotoa ameongea kibinafsi sana,aelewe ahadi hizo wenzake wameshindwa kutekeleza ndani ya ccm kwa zaidi ya miaka 30.
Kwa ufupi LOWASSA ndo mwarobaini.