Uchambuzi : Marekani na Israel inakuza na kulea Ugaidi na Magaidi

Uchambuzi : Marekani na Israel inakuza na kulea Ugaidi na Magaidi

adriz

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
15,479
Reaction score
33,511
Moja kwa moja...

Kabla sijaanza mada yangu ningependa kuweka wazi msimamo wangu wa tokea awali katika yale yanayoendelea Gaza ;

1. Siwaungi mkono Hamas na njia wanazotumia ambazo hazikubaki kidini wala kikawaida tu , ukijumlisha utekaji wao wa watoto , Wazee , wanawake na makandokando yao mengine.

2. Siwaungi mkono Israel kwa unyanyasaji na maujaji ya kutisha wanayofanya kwa raia wa Palestina waliokuwa na hatia ,their actions are unjustifiable..na yeyote anayewaona Hamas Magaidi wanafanya unyama huku akisapoti Israel kuwaona wanafanya ya sawa kwa kuua raia huyo Mtu sina cha kumsaidia , He is worse than a dog.


Twende kwenye Mada
Ipo wazi na Inafahamika kuwa chanzo Cha machafuko middle East ni Iran hayo sio maneno yangu , Viongozi wakubwa wa Marekani na Israel wamekuwa wakisema mara kwa mara na ushahidi upo wazi kwamba Iran inasapoti vikundi mbalimbali vya kigaidi tena kwa Msaada mkubwa wa silaha na mengineyo.

Sasa kwa nini Marekani na Israel wasiungane kwa pamoja na nguvu zao zote za kijeshi na kiintelijensia kuondoa chanzo cha matatizo ? maana unampiga Leo hao wanaojiita Hizbulllah , Houth , Hamas kesho Iran anaongeza nguvu mashambulizi ya kigaidi yanatokea tena halafu unapambana na vidagaa unaliacha Kambale likinenepa hiyo ni sawa ?

Isitoshe unaenda kupiga Gaza , Yemen , Lebanon na kufanya mauaji ya raia wengi na kuharibu miundombinu na kusababisha hali mbaya za kibinadamu huku chazo cha matatizo unamlea na kumuacha akila urojo.

Kupiga matawi na kuacha mzizi ni useless maana mziziz unaweza kusababisha mmea kushamiri tena , kuzaliwa kwa matawi mapya au ya Zamani yalikuwa dhaifu kupata nguvu tena . Na tumeshuhudia Netanyahu anaishia kulalama tu kuwa Iran chanzo Cha matatizo na kugeuka kuwa chawa wa Iran mara kwa mara bila kufanya serious and significant military action ya kuondoa mizizi ya Ugaidi na US nae amekuwa mtu wa mikwara tu.

Sasa waache kuonea dagaa na kuua Raia wafanya combination na waondoe mizizi ya Ugaidi bila ya hivyo tutajua kuwa lao ni Moja au wana maslahi na Ugaidi unaendelea kutokana na Fact waliwahi kupiga Afghanistan hata Iraq kumtoa Saddam Hussein lakini miaka nenda rudi wanamlea Iran.

#Uzi Unaendelea
images (49).jpeg
 
Hapo nakubaliana na wewe mkuu, kuna uwezekano marekani inalea ugaidi.
Mi huwa najiwazia, hivi serikali yenye nguvu kama marekani why isizishawishi serikali zote Duniani wakaungana ili kuyaangamiza makundi yote ya kigaidi Duniani!

Hivi mataifa yote Duniani yaungane kutengeneza jeshi moja tu ambalo lenyewe kazi yake ni kusambaratisha kila kundi ambalo litajulikana ni la kigaidi, itashindikana kuyatokomeza ili Dunia iwe salama?
 
Wanagopa wakimpiga Iran watasababisha maafa zaidi coz Iran pia inawashirika wake. So inaweza kuwa Vita ya dunia bila kutegemea ndo sababu wanampiga Iran kwa kudokoa dokoa.
 
Hapo nakubaliana na wewe mkuu, kuna uwezekano marekani inalea ugaidi.
Mi huwa najiwazia, hivi serikali yenye nguvu kama marekani why isizishawishi serikali zote Duniani wakaungana ili kuyaangamiza makundi yote ya kigaidi Duniani!

Hivi mataifa yote Duniani yaungane kutengeneza jeshi moja tu ambalo lenyewe kazi yake ni kusambaratisha kila kundi ambalo litajulikana ni la kigaidi, itashindikana kuyatokomeza ili Dunia iwe salama?
Hata Mimi hilo linanishangaza sana , ingekuwa hivyo hata Boko Haram libidi wapigwe msako wa Nyani na binge Jeshi la Dunia msituni na kusambaratishwa completely..
 
Wanagopa wakimpiga Iran watasababisha maafa zaidi coz Iran pia inawashirika wake. So inaweza kuwa Vita ya dunia bila kutegemea ndo sababu wanampiga Iran kwa kudokoa dokoa.
Mshirika wa Iran ambaye anaweza kuingia front kuisaidia Iran kwenye cimbat war ni nani? MTAJE.... Tofauti na wale Proxy wake Houthi na Hezbollah na baadhi ya magenge huko Iraq na. Syria ambayo hayana mbele wala nyuma
 
NI PONGEZI KWANGU KWA NDUGU YANGU ADRIZ, MWANA JAMII MWENZANGU AMBAE TUMEKUWA TUKITOFAUTIANA SANA KATIKA MASWALA YA MIDDLE EAST , KWA KUKUBALI UTAPELI WA IRAN NA HAMAS NDIO CHANZO CHA MGOGORO HUU WOTE.

LAKIN NINGEPENDA PIA KUKUUNGA MKONO KATIKA NOTION MOJA ULIOGUSIA KUWA INAKUWAJE UGAIDI HAUPOTEI MOJA KWA MOJA.

NINGEPENDA TU KUKUFAHAMISHA NDUGU ADRIZ KUWA ,MAMLAKA SIO RAFIKI YA MWANANCHI ILA MAMLAKA NI RAFIKI WA ITIKADI ZAKE, THUS ATATUMIA NJIA ZOTE ILI KUILINDA AU KUISAMBAZA ITIKADI HIO, BASI HIVYO NIKUFAHAMISHE KUWA HATA MAREKANI WANAHUSIKA NA KUFADHILI VIKUNDI TOFAUTI VINAVYOWASAIDIA KUPIGANA NA ADUI ZAO, ILA KWA BAHATI MBAYA VIKUNDI HIVI HUGEUKA KUWA RADICALS TENA KWA MAREKANI EITHER WANAOGOPA KUWATOKEA KAMA YA WALIOKUWEPO OR WANAONESHA TRUE COLORS ZAO. NDIO MAANA VIKUNDI VYA RADICAL HAVIISHI HUKO UARABUNI NA VINACHAFUA TASWIRA YA UISLAMU

MFANO NGUVU KUBWA YA MUJAHDINI NI KUTOKANA NA MAREKANI KUWASAIDIA KUPIGANA NA MRUSI, WALITUNZA SILAHA NA WAKANUNUA MPYA ZAIDI.

PIA KUHUSU ISSUE YA KWENDA DIRECT KWA IRAN, MAREKANI INAOGOPA GHARAMA YA KUINGIA VITA KWA MAAANA IRAN ANA SUPPORT YA RUSSIA, NA PIA MAREKANI
ANAHISI TAYARI IRAN ANA NUCLEAR, KWA MBADALA MAREKANI NA IRAN WANACHOFANYA HADI SASA NI KUTUMA MAOFISA WA WAO NA WAKO IRAN KUKUTAFUTA NJIA YA KUANGUSHA UTAWALA WA KISHIA AMBAYO INAKUWA NGUMU KWA MAANA IRAN AMEWEKEZA KATILA USALAMA KUANZIA NGAZI YA FAMILIA NDIO MAANA AYATOLLA NI NGUMU KUTOKA.

ANYWAY, WAR SUCKS!
 
Moja kwa moja...

Kabla sijaanza mada yangu ningependa kuweka wazi msimamo wangu wa tokea awali katika yale yanayoendelea Gaza ;

1. Siwaungi mkono Hamas na njia wanazotumia ambazo hazikubaki kidini wala kikawaida tu , ukijumlisha utekaji wao wa watoto , Wazee , wanawake na makandokando yao mengine.

2. Siwaungi mkono Israel kwa unyanyasaji na maujaji ya kutisha wanayofanya kwa raia wa Palestina waliokuwa na hatia ,their actions are unjustifiable..na yeyote anayewaona Hamas Magaidi wanafanya unyama huku akisapoti Israel kuwaona wanafanya ya sawa kwa kuua raia huyo Mtu sina cha kumsaidia , He is worse than a dog.


Twende kwenye Mada
Ipo wazi na Inafahamika kuwa chanzo Cha machafuko middle East ni Iran hayo sio maneno yangu , Viongozi wakubwa wa Marekani na Israel wamekuwa wakisema mara kwa mara na ushahidi upo wazi kwamba Iran inasapoti vikundi mbalimbali vya kigaidi tena kwa Msaada mkubwa wa silaha na mengineyo.

Sasa kwa nini Marekani na Israel wasiungane kwa pamoja na nguvu zao zote za kijeshi na kiintelijensia kuondoa chanzo cha matatizo ? maana unampiga Leo hao wanaojiita Hizbulllah , Houth , Hamas kesho Iran anaongeza nguvu mashambulizi ya kigaidi yanatokea tena halafu unapambana na vidagaa unaliacha Kambale likinenepa hiyo ni sawa ?

Isitoshe unaenda kupiga Gaza , Yemen , Lebanon na kufanya mauaji ya raia wengi na kuharibu miundombinu na kusababisha hali mbaya za kibinadamu huku chazo cha matatizo unamlea na kumuacha akila urojo.

Kupiga matawi na kuacha mzizi ni useless maana mziziz unaweza kusababisha mmea kushamiri tena , kuzaliwa kwa matawi mapya au ya Zamani yalikuwa dhaifu kupata nguvu tena . Na tumeshuhudia Netanyahu anaishia kulalama tu kuwa Iran chanzo Cha matatizo na kugeuka kuwa chawa wa Iran mara kwa mara bila kufanya serious and significant military action ya kuondoa mizizi ya Ugaidi na US nae amekuwa mtu wa mikwara tu.

Sasa waache kuonea dagaa na kuua Raia wafanya combination na waondoe mizizi ya Ugaidi bila ya hivyo tutajua kuwa lao ni Moja au wana maslahi na Ugaidi unaendelea kutokana na Fact waliwahi kupiga Afghanistan hata Iraq kumtoa Saddam Hussein lakini miaka nenda rudi wanamlea Iran.

#Uzi Unaendelea
View attachment 3289849
UNAONEKANA UNA HASIRA SANA MKUU POLE
 
Mshirika wa Iran ambaye anaweza kuingia front kuisaidia Iran kwenye cimbat war ni nani? MTAJE.... Tofauti na wale Proxy wake Houthi na Hezbollah na baadhi ya magenge huko Iraq na. Syria ambayo hayana mbele wala nyuma
Hata urus
 
Kwanza unatakiwa ujue Middle East vizuri before British colonies hapo yaani before 1947 before creation of Israel alafu ujue peace stability iliyokuwepo kipindi hiko.

Alafu ujue nani alikuwa super power kipindi hicho alafu ujue hayo makundi ya kigaidi( warriors of ME) walitokana na nini alafu ujue kwnn US aende ME for what purpose alafu ujue kwnn Kulikuwa na arab springs.

Kabla ya hapo kwanza ujue tofauti ya Uislam na waarabu na ujiulize kwanini Ottomans (Islamic kingdom) haikuwauwa wayahudi wote na waliishi chini ya Ottomans kwa miaka zaidi ya 1000

yaani ki ufupi. Unapotaka kuijua Mashariki ya kati weka chuki zako binafsi kwanza kisha anza kusoma historia hasa kuanzia 1900 hadi 2025 kwa kuwa wajinga ni wengi,. Tutaendelea kununua nguo za mtumba ilihali sisi ndio walima pamba
 
Kwanza unatakiwa ujue Middle East vizuri before British colonies hapo yaani before 1947 before creation of Israel alafu ujue peace stability iliyokuwepo kipindi hiko.

Alafu ujue nani alikuwa super power kipindi hicho alafu ujue hayo makundi ya kigaidi( warriors of ME) walitokana na nini alafu ujue kwnn US aende ME for what purpose alafu ujue kwnn Kulikuwa na arab springs.

Kabla ya hapo kwanza ujue tofauti ya Uislam na waarabu na ujiulize kwanini Ottomans (Islamic kingdom) haikuwauwa wayahudi wote na waliishi chini ya Ottomans kwa miaka zaidi ya 1000

yaani ki ufupi. Unapotaka kuijua Mashariki ya kati weka chuki zako binafsi kwanza kisha anza kusoma historia hasa kuanzia 1900 hadi 2025 kwa kuwa wajinga ni wengi,. Tutaendelea kununua nguo za mtumba ilihali sisi ndio walima pamba
Kusoma historia ni muhimu sana ila ajabu watu wengi hajawai mambo muhimu ya kihistoria ila kwenye ushabiki maandani namba 1.
 
Back
Top Bottom