kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,286
Bado tu unamtetea yule dictator?Mkuu unaota ,unakula ,unalala wewe ni awamu ya tano tu,sema ulichokosewa au ulichokikosa, sidhani kama itakusaidia sana kila siku kujadili na kulaumu awamu ya tano,wewe si ulikuwepo ulifanya nini baada ya kuona hayo mapungufu na mchango wako ni upi, kila siku unabwata tu awamu ya tano eh awamu ya tano.