joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
- Thread starter
- #21
Huu ndio ushahidi?, wacha kujidhalilisha kaka, you are better than this.Na hapo vipi?View attachment 1620049
Huu ndio ushahidi?, wacha kujidhalilisha kaka, you are better than this.Na hapo vipi?View attachment 1620049
Wizi wa hivyo CCM haijaanza Leo, mwaka 2OOO mrema akiwa mgombea urais TLP, kituo alicho-vote yeye na my wife wake alipata ziro.Ninakumbuka kauli hii ya Lipumba hii ni mara ya 3 anaitoa, aliwahi kuitoa 2005 pia, huwa anazungumza bila ushahidi wowote ule, huyu ni mtu wa kumpuuza sio mtu wa kumsikiliza.
Ninakumbuka alishauriwa sana na Profesa Safari wakati wote wakiwa CUF kutoshiriki uchaguzi wowote badala yake wadai kwanza tume huru ya uchaguzi, akamjibu Profesa Safari kwamba, wakiacha kushiriki uchaguzi ni sawa na kumsusia nyani shamba la mahindi, jambo la kushangaza baada ya kuangushwa vibaya sana katika uchaguzi huu, amesema CUF haitoshiriki tena uchaguzi wowote hadi kupatikane tume huru ya uchaguzi, sasa mtu mwenye akili za hovyo kiasi hiki bado unamuami
Haya ni maneno ya ujinga yanayotumiwa na losers popote pale Africa, hata Kenya Raila alishawahi kusema hivyo, hata huko Uganda Bisigye alishawahi kusema hivyo. Hayo ni maneno ya kushindwa hayana ukweli wowote.Wizi wa hivyo ccm haijaanza Leo, mwaka 2OOO mrema akiwa mgombea urais TLP, kituo alicho-vote yeye na my wife wake alipata ziro.
Weka ushahidi kama anayosema Lipumba ni kweli, wacha kusikiliza maneno yasiyokua na ushahidi, hayo ni maneno ya mfa maji lazima atapetape
Huu ndio ushahidi?, wacha kujidhalilisha kaka, you are better than this.
Unajuaje kama huyo kiwete wenu lissu kampigia Magufuli? Kura ni siri.Kura ni siri kwa kweli, hata dikiteta uchwara ukute alimpigia lissu
Huu ni upuuzi tupu, nani kabaini kuwa hizo ni karatasi za uchaguzi? hata wewe mwenyewe unaweza chapisha zako badia kirahisi sana, tupo majira ya technology..acheni kutapatapa kama wafa maji..Hii inaitwa FAKE newsNa hapo una kipi Cha kusema?View attachment 1620048
Wewe unaushahidi gani kama hayo anayosema ni kweli?, sasa kila mtu akisema na wewe ukaamini tu bila hata kujiridhisha kama anayosema ni kweli, utaishi maisha ya ajabu sana.Sasa unataka ushahidi upi.
Na wakati huyo mgombea ubunge wa lipumba alikwenda na familia yake ya watu 7 na yeye mwenyewe akiwa wa 8.
Wakaenda kupiga kura Cha AJABU akapata kura 000000000%.
Kweli jamani hata Kama wizi huu umezidi.
Mngemuachia japo kura yake 1
Hata mimi ninashangaa jinsi anavyoweza kudanganyika kirahisi na habari za mitandaoniHuu ni upuuzi tupu, nani kabaini kuwa hizo ni karatasi za uchaguzi? hata wewe mwenyewe unaweza chapisha zako badia kirahisi sana, tupo majira ya technology..acheni kutapatapa kama wafa maji..Hii inaitwa FAKE news
Kwahiyo tukiokoteza picha na kuziweka hapa kuthibitisha tunayosema, kwako huo ni ushahidi tosha?, kwa akili hizi CCM itaendelea kuongoza miaka 100 ijayo.Ngoja kwanza.tusifunike kombe ili mwana haramu apite.hichi nini?.
Kweli tunajua CCM mnakipenda chama CHENU atukatai.
Ila kwenye ukweli mseme ukweli.
Hii ngoma mlibuma,sio bara Wala visiwani.bila nguvu ya NEC na polisi mlikuwa mnapoteaView attachment 1620050
Ulemavu wa lissu upo miguuni ila babu yenu ulemavu wake upo kwenye ubongo, so nina uhakika lissu hawezi mpigia kura chizi/kichaa.Unajuaje kama huyo kiwete wenu lissu kampigia Magufuli? Kura ni siri.
Ngoja kwanza.tusifunike kombe ili mwana haramu apite.hichi nini?.
Kweli tunajua CCM mnakipenda chama CHENU atukatai.
Ila kwenye ukweli mseme ukweli.
Hii ngoma mlibuma,sio bara Wala visiwani.bila nguvu ya NEC na polisi mlikuwa mnapoteaView attachment 1620050
Kwahiyo tukiokoteza picha na kuziweka hapa kuthibitisha tunayosema, kwako huo ni ushahidi tosha?, kwa akili hizi CCM itaendelea kuongoza miaka 100 ijayo
hata huyu pia utamuamini sio?
Samahani, hii yaarifa nimeikuta facebook News, chini ya hiyo taarifa kuna jamaa ameweka comment inayosomeka " Mimi na mke wangu tulimpigia kura Lisu, lakini kura zilipihesabiwa, Lisu amepata zero ", ndio nilitaka kuweka hiyo comment, badala yake imekuja habari yenyeweEbu tuambie.nini kilitokea kuhusu hizo kura.
Huo hauwezi kuwa ushahidi kaka wacha kujidhalilisha. Kwahiyo mimi niliyekuambia kwamba huyo jamaa hajajiandikisha ktk hicho kituo wala hana familia ya watu saba, utaamini?Picha za kuokota umesema wewe.
ANGALIA maudhui ya hizo picha.
Huo hauwezi kuwa ushahidi kaka wacha kujidhalilisha. Kwahiyo mimi niliyekuambia kwamba huyo jamaa hajajiandikisha ktk hicho kituo wala hana familia ya watu saba, utaamini?,
Tatizo lako unasikiliza maneno ya mitaani bila ushahidi wowote, ulipaswa kuonyeshwa hizo kura feki ambazo zimekamatwa katika masanduku ya kupigia kura, vyama husika vilipaswa kutoa ushahidi usiokua na shaka kwa kuonyesha tukio zima la kukamtwa hizo kura feki kwa kuambatanisho video, kama ambavyo wanaonyesha wanapopigwa mabomu na polisi.Kwani wewe upo NEC?.
UENDA UKAWA UNAUJUA UKWELI.
Niambie ukweli kuhusu kura feki
Tatizo lako unasikiliza maneno ya mitaani bila ushahidi wowote, ulipaswa kuonyeshwa hizo kura feki ambazo zimekamatwa katika masanduku ya kupigia kura, vyama husika vilipaswa kutoa ushahidi usiokua na shaka kwa kuonyesha tukio zima la kukamtwa hizo kura feki kwa kuambatanisho video, kama ambavyo wanaonyesha wanapopigwa mabomu na polisi.
Yako wapi na yamekatwa na nani? Ameripoti wapi?, lazima ukikamata jinai polisi lazima wahusishwe, nje ya hapo huo ni uhuni na udakuHuu utetezi hata mtoto wa chekechea hawezi kukubali.
Bora NEC waliokataa kabisa kwa kusema hakuna kura feki zilizokamatwa Wana afadhari kuliko wewe.
Mtu makaratasi unayaona kabisa ya kupigia kura yamekamatwa lakini bado unakomaa unataka ushahidi.
Kweli kushangilia CCM inahitaji ujitoe ufahamu