nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
Pia ghasia anatakiwa kuondoka mara moja kwenye uwaziri, kwenye uchaguzi huu kila wilaya imelipa tofauti waliosimamia uchaguzi ule, wengine wamelipwa 50000 toka uandikishaji mpaka usimamizi wa kura, wengine wamelipwa 100000 toka uandikishaji na upigaji kura. Pinda na mawaziri wanaohusika waondoke mara moja.