MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 402
Madai Ya Kujengewa Nyumba,mishahara Kuboreshewa,malimbikizo Ya Mishahara,kuboreshewa Mafao Yetu, Masurufu Ya Kazi Yupo Mtu Mmoja Tu Mwenye Kuweza Kuyakabili Hayo.
Mtu Huyo Alishaianza Kazi Hiyo.Alianza Kwa Kujenga Shule Za Kata Zaidi Ya 2000 Ndani Ya Miezi. Je, Angekaa Miaka Mitano Hali Ingekuwaje?
Tangu Ameondoka Hadi Leo Hakuna Shule Ya Kata Hata Moja Iliyojengwa Na Hata Zile Zilizopo Hadi Sasa Hazina Waalimu!
Mtu Huyo Anaitwa TUMAINI LETU WANYONGE EDWARD NGOYAI LOWASA.Na Kama CCM Wasipompitisha Msihofu Tunae Mkombozi Mwingine Ni Dr Wilbroad Peter Slaa.
KUHUSU WABUNGE CHAGUENI WOTE KUTOKA UKAWA na CCM MUMBAKISHE OLE SENDEKA.
Mkifanya Hivyo Madai Yenu Yatabaki Historia.
Mtu Huyo Alishaianza Kazi Hiyo.Alianza Kwa Kujenga Shule Za Kata Zaidi Ya 2000 Ndani Ya Miezi. Je, Angekaa Miaka Mitano Hali Ingekuwaje?
Tangu Ameondoka Hadi Leo Hakuna Shule Ya Kata Hata Moja Iliyojengwa Na Hata Zile Zilizopo Hadi Sasa Hazina Waalimu!
Mtu Huyo Anaitwa TUMAINI LETU WANYONGE EDWARD NGOYAI LOWASA.Na Kama CCM Wasipompitisha Msihofu Tunae Mkombozi Mwingine Ni Dr Wilbroad Peter Slaa.
KUHUSU WABUNGE CHAGUENI WOTE KUTOKA UKAWA na CCM MUMBAKISHE OLE SENDEKA.
Mkifanya Hivyo Madai Yenu Yatabaki Historia.